Mdada kaniganda...

Mdada kaniganda...

Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Ungehama na makazi wakati ulipomwambia aende kwao,

lakini na wewe ulianzishaje mahusiano na mtu unaejua hamtafika mbali, umemtumia sahavi unamwaga, unajua umemkosesha wachumba wangapi na kupoteza muda wake , hii dhambi hii.
 
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Wakati mnaanza mahusiano, ukimwambia kuwa huna mipango naye unataka kula tu mzigo? Mnatia aibu vijana ni lini mtakua waungwana?
 
Ni mwanamke ambaye tulikuwa na on and off relationship. Almost 2 years. Ni mwanamke ambaye alishazalishwa mtoto mmoja. Alishawah kuolewa akaachika. Ni mtu alikuwa na drama sana. Ashaniambia ana mimba Mara nyingi tu lakin mpaka Leo sijawahi kuona hio mimba. Nilishamchoka lakin sikutaka kumwambia. Kwa hio nikataka tumia gear ya atoke nje ya mji aende kwao ili nimpotezee kabisa. Na mwisho alikuja toa mimba akaniambia eti nimemgombeza mimba ikatoka. Yan kwa kweli hayuko kichwan kwangu kabisa. Nashindwa nimtoe je kwangu
Ondokaaa kwani hiyo nyumba umejengaa???? Muachie nyumbaa hamaaa...
 
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Weka picha tuone ziba Sura.......labda anaweza kupata sponsor maana wengine tunapenda chura na mahips
 
Sijui kwanini namhurumie huyo demu?

Inaonekane mkuu ulimpa ahadi sio?
 
"Nilikua sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa"

Kwa kauli hiyo ina maana huyo mwanamke ulikua unamchezea tuu na kumpotezea muda wake? ulimfanya kua yeye ni wamajaribio? kwanini hukumwambia toka mwanzo? anakuganda coz umempotezea muda wake,

Pambana na hali yako jomba ila usirudie kabisa kucheza na hisia za mtu.
NI miaka mingapi wanawake wataelewa tofauti ya penzi ya kuolewa na ya kufurahishana? Mbona wao wakitaka wanaondoka na huwezi kumdai chochote ulichogharamia? WAO SASA ANAFANYA HAYA. Wanaume tuweke sawa kwa rAFIKI ZETU WA KIKE juu ya urafiki yasije yakawa haya.
 
Akienda polisi ujue utalipia gharama ya muda wake kwako, hivyo mwambie nakuachia Kila kitu cha humu ndani na mpe kama laki 2 ya mtaji.


Anza maisha Kwa somo lililopita la kutochezea hisia za mwanamke na ukijifanya mjanja utalogwa na uchawi lazima ukufikie au ataku kuua tu!!.
Police gani hiyo inayotoa hukumu
 
Mkuu uwe unawaambia mapema kuwa all I need is mgegedo,,.

Hayo umeyataka mwenyewe sasa..PAMBANA
 
Unamuonea wivu handsome wa watu 😅😅😅
Njoo basi na weww unigande 😉😉😉

#YNWA
Mimi ni maskini jeuri, ukileta shobo na mm nafanya hivyo hivyo.

Kama una cha ziada cha kukuganda ntafanya hivyo. Maana na watu wataki
wa wanaona sijakosea kukuganda.

Its better to cry in a mercedes benz than a bicycle
Unamuonea wivu handsome wa watu 😅😅😅
Njoo basi na weww unigande 😉😉😉

#YNWA
Kama kuna cha tofauti kukuganda sio dhambi.
Hata shetani ataogopa kunipitia.sio yale ya kajamba nani ati na masimango yotee nakuganda akuuuuuh.

Its better to cry in a mercedes benz than a bike.
 
Mimi ni maskini jeuri, ukileta shobo na mm nafanya hivyo hivyo.

Kama una cha ziada cha kukuganda ntafanya hivyo. Maana na watu wataki
wa wanaona sijakosea kukuganda.

Its better to cry in a mercedes benz than a bicycle

Kama kuna cha tofauti kukuganda sio dhambi.
Hata shetani ataogopa kunipitia.sio yale ya kajamba nani ati na masimango yotee nakuganda akuuuuuh.

Its better to cry in a mercedes benz than a bike.
Dah nashukuru.
Vipo vingi sanaa vya kukugandisha, japo uta cry in Range rover...!!!
Uje basi PM huku tunaanze kugandana jamani.
😘😘😘😘

#YNWA
 
Kamdhalilisha mdada wa watu na kumpotezea muda wake kisha anataka kumdump kirahisi namna hiyo! tena huyo mdada anatakiwa amtoe busha jamaa ili ajue kua kuchezea hisia za mtu ni jambo la hatari sana.
Mapenzi hayalazimishwi muda aliompotezea ni upi, mara zote yeye siyo wa kwanza. Hata kama angekuwa amemuoa kama hana mapenzi naye aachane naye
 
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Huyo ameandamana hadi nyumbani kwako, amevamia na amekusanyika bila kibali, mchukulie hatua kali za kisheria
 
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Unaonekana ni kijana mpoleeeeee.Yamkini hujawahi hata kumkemea kwa lolote,jambo ambalo hata yeye analijua fika na mbaya zaidi anatake advantage ya hulka yako hiyo ya upole.Jifunze kuonesha hisia zako wazi wazi(epuka kuigiza).
 
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Jitahidi kula mayai ya kuchemsha kila siku usiku, kula maharage yale mekundu, nyama choma na vitu vya kuleta gesi tumboni.
Hii itakusaidia kutoa harufu ksli usiku.
Kwa muda wa wiki moja atachoka kwa harufu na kuondoka

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Dah nashukuru.
Vipo vingi sanaa vya kukugandisha, japo uta cry in Range rover...!!!
Uje basi PM huku tunaanze kugandana jamani.
😘😘😘😘

#YNWA
Watoto wa jf mna vituko.niheshimu kabla sijakuchapa viboko. Ukaiona range kwenye google ukaja kutest upepo😂😂😂😂😂
 
Watoto wa jf mna vituko.niheshimu kabla sijakuchapa viboko. Ukaiona range kwenye google ukaja kutest upepo😂😂😂😂😂
Nina Range Rover ya Rohoni na kitandani...!!
Kama vipi nitakuganda wewe tafadhali
❤️❤️❤️
Halafu mi mtu mzima mwenzio.

#YNWA
 
Back
Top Bottom