Starwars91
Member
- Jul 12, 2020
- 52
- 47
- Thread starter
- #21
Yan acha tu. Nishawahi kukamata message akiwa anachat na mtu eti sex ilikuwa nzuri. Ni mtu ambaye ni pasua kichwa sana. Mimi nilishashindwa siku nyingi Ila alikuwa ni mtu Wa vurugu tu.Unaposema alikusumbua sana tupe hata mikasa miwili mitatu ukiacha huo wa kutoa ujauzito, ili tujue upande upi wenye makosa.

