Mdada kaniganda...

Mdada kaniganda...

Starwars91

Member
Joined
Jul 12, 2020
Posts
52
Reaction score
47
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
 
"Nilikua sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa"

Kwa kauli hiyo ina maana huyo mwanamke ulikua unamchezea tuu na kumpotezea muda wake? ulimfanya kua yeye ni wamajaribio? kwanini hukumwambia toka mwanzo? anakuganda coz umempotezea muda wake,

Pambana na hali yako jomba ila usirudie kabisa kucheza na hisia za mtu.
 
Muachie ghetto tafuta sehemu nyingine ya kulaza mbavu
 
Nenda dawati la jinsia pale polisi, mtafute wadada wa lile dawati huwa ni waelewa sana mpe mkanda mzima then wao watamwita waongee nae ikiwezekana wampige mkwara kidogo kuja hapo home, nshawahi tumia hii njia maana mtu alikuwa geto na hataki kuondoka plus anasema ukizingua najiua
 
Anakuganda kwasababu ulimdanganya xana kipindi hicho kwa kumpa ahadi nying... Xx hayupo tayar kuona kwmb umempotezea muda wake...inaonekan alijitolea xana kukupenda lkn ww ndy unazingua... C ajabu alikataa wengine kwa ajili yako tu.. usije kumfanya ajute japo wote mna makosa.
 
Ushampoteza direction mdada wa watu
Alafu unakuta mileage inasoma 26 kilometers daadeq
Mimi naamini hivi.....
Sio kila mahusiano lazima yaishie kwenye ndoa, maana pengine mwanaume unaweza ukawa na nia njema na binti na baada ya kumpata ndipo unakuta ameanza kuonyesha tabia zake mbaya ambazo unaona kabisa hazikufai.
 
Yaani kitendo cha kuja kulalamika humu tu inaonyesha jinsi gani haupo serious.

Muda huu ulitakiwa uwe umefika Cape Town umejificha, yeye atakaa kodi ikiisha ataondoka tu.

Now akikufuata na huko Cape Town rudi tena tukushauri.

NB. Naamini huyo binti ama siyo mzuri au siyo sex goddes.
 
Msupriz..we kapange zako buza uko
 
Ondoka hapo, usiache matumizi yeyote! Wiki ndefu sana njaa itamuondoa hapo..
 
...Kama ulimuahidi ndoa basi tekeleza ahadi yako.

Tafuta demu mzuri uende nae hapo kwako ukamtambulishe kwake na mwambie huyu mwanamke ndio atahamia kwangu hivyo aondoke akupishe...😂😂😂😂.....
 
Hii dunia haiishi vituko ati kakuganda? Kwa lipi la maana ulokuwa nalo? Ni mwanamke gani wa kujidhalilisha hivyo? Kwani ni kilema kusema hawezi kufanya kazi akaishi mwenyewe.

Ulivyojipa sifa ukute unamiliki laptop na smartphone + kuishi chumba kimoja cha 30000
 
Hii dunia haiishi vituko ati kakuganda? Kwa lipi la maana ulokuwa nalo? Ni mwanamke gani wa kujidhalilisha hivyo? Kwani ni kilema kusema hawezi kufanya kazi akaishi mwenyewe.

Ulivyojipa sifa ukute unamiliki laptop na smartphone + kuishi chumba kimoja cha 30000
Kamdhalilisha mdada wa watu na kumpotezea muda wake kisha anataka kumdump kirahisi namna hiyo! tena huyo mdada anatakiwa amtoe busha jamaa ili ajue kua kuchezea hisia za mtu ni jambo la hatari sana.
 
Unaposema alikusumbua sana tupe hata mikasa miwili mitatu ukiacha huo wa kutoa ujauzito, ili tujue upande upi wenye makosa.
 
Kama aliporudi mfalishirikiana kimwili na manaendelea na huo mgegedo sahau kuachana, kuachana kama hujakaa sawa unaweza ukaua, wewe hutaki mahusiano na yeye ndio kwanza anajipanga kukaa na wewe vizuri. vumilia tu yataisha, Ila cha msingi katika hayo ni msimamo usiyoyumba.
 
Back
Top Bottom