AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
kama wanapendana waoane na amfundishe naye kazi (tour guide) ili kipato cha familia kiwe kikubwa zaidi
loh! kuna dada mmoja aliishi na mkaka miaka 10 bila kujua ka jambazi mana mda wote yuko ndani ya suti na ana ofisi yake na kumejaa mifaili hiha na wafanya kazi wanaingia na kutoka ...........kumbe ile mifaili ni imejaa documents za watu mfano mtaa flani nyumba flani iko na nn ndani na kila kitu na wale wanaokuja na kuchukua mafaili mi vijambazi mtoto yani(majambazi madogomadogo) na yy ndio bosi wao anawapangia kazi loh! kuna wanaoenda kuchunguza na kujaza details ktk files na kuna wanaozitendea kazi so ofisini ni mpishano wa watu na mifile tu na masekretar kibao kumbe nao majizi loh!
cku walienda kuiba magari kenya na kuyavusha wakazidiana kete yy akauwawa akatupwa ziwa natron ndio mkewe anajua mumewe jambazi kumbe mana walikuja wenzie ndani na kubeba kila kitu huku wakisema mumeo hajakuambia kazi yake loh!
walibeba kila kitu koz aliwazidi kete wenzie walipouza yale magari
believe me dada alikua na mimba ya miezi saba alizimia 3day na mimba ilitoka na hadi leo yuko ka hana akili zuri yani kawa kama zuzu kwa mshtuko ule
na kila nikija tz namuona bado yuko home kwao mana ni jirani na ss.................yani ukimuona unaweza kusema ni taaira mana anacheka cheka tu na kazubaa ka nn anatilisha huruma kwakweli
ushauri wa pili asikubali mana ataachwa mjane mda c mrefu
loh! kuna dada mmoja aliishi na mkaka miaka 10 bila kujua ka jambazi mana mda wote yuko ndani ya suti na ana ofisi yake na kumejaa mifaili hiha na wafanya kazi wanaingia na kutoka ...........kumbe ile mifaili ni imejaa documents za watu mfano mtaa flani nyumba flani iko na nn ndani na kila kitu na wale wanaokuja na kuchukua mafaili mi vijambazi mtoto yani(majambazi madogomadogo) na yy ndio bosi wao anawapangia kazi loh! kuna wanaoenda kuchunguza na kujaza details ktk files na kuna wanaozitendea kazi so ofisini ni mpishano wa watu na mifile tu na masekretar kibao kumbe nao majizi loh!
cku walienda kuiba magari kenya na kuyavusha wakazidiana kete yy akauwawa akatupwa ziwa natron ndio mkewe anajua mumewe jambazi kumbe mana walikuja wenzie ndani na kubeba kila kitu huku wakisema mumeo hajakuambia kazi yake loh!
walibeba kila kitu koz aliwazidi kete wenzie walipouza yale magari
believe me dada alikua na mimba ya miezi saba alizimia 3day na mimba ilitoka na hadi leo yuko ka hana akili zuri yani kawa kama zuzu kwa mshtuko ule
na kila nikija tz namuona bado yuko home kwao mana ni jirani na ss.................yani ukimuona unaweza kusema ni taaira mana anacheka cheka tu na kazubaa ka nn anatilisha huruma kwakweli
ushauri wa pili asikubali mana ataachwa mjane mda c mrefu