Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,053
- 648
Unajua kukunjiwa ndita bila ya sababu kunakera kuliko maelezo manake huyu mdada anahamisha matukio,kaboreka labda toka kwa ofisi basi ni mpaka nyumbani..sometime busara inabidi ichukue mkondo wake kwa hali kama hizi japo zinaweka mahusiano kwenye hatihati..