Ila kweli ki2 smile bwana huwa ni suluhisho sometimes,
mie siku moja my nan wangu huyu karud home kachelewa, na mara nyingi akichelewa bla taarifa huwa nakasirika bt this tym ckuwa hata mekasirika, sasa mwenyewe kaja nimempokea akaanza, so nambe umekasirika hata hujaniuliza nimechelewa kwa nn......na blabla kibao, mie niko kimya tu namwangalia, alipomaliza nlichofanya nilitabasam tu kwa jinsi alivyokuwa anajieleza wakat mie hata nlikuwa cjakasirika,kuona nasmile na yy hapo hapo mood ikabadilika coz alikuwa analalamika, na kunisifia akanisifia kuwa huwa napendeza na nnavutia zaid nkismile heheheee na anapata aman sana akiiingia kwa door akakumbana na hyo smile.
nlijifunza ki2 pale,