Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

oooh cam'on guys..... wanaume wanaume wanaume.... jamani mbona mnajifanya wa gharma kubwaaa kihivyo?? yaani nyie mkiwa kwenye mahusiano mnataka kuenziwe kama wafalme??? niliwahi kusoma post moja inayosema eti mwanamume huwa haambiwi nakupenda a.k.a I love you! hivyo anapanga kumuacha mkewe kisa hicho tu, huyu tena ndita zinamfanya ataka kupiga kibuti mpenzi.... hivi ni kweli haya mapenzi ni ya dhati?? mbona kwenye mahusiano kuna maudhi mengi mengi sana ambayo yanaweza kuwapata na bado watu tunavumiliana tunaendelea na maisha pamoja? unaweza hata ukamfumania mke/mume na bado mkasameheana hasa mkikumbuka mema mengi mliyotendeana, sembuse ndita? you must fair guys, si kila wakat mnamind vitu vidogo vidogo mnatia doa mapenzi yenu bure.

muhanga usisahau panapofuka moshio panaficha moto......................vitu vidogo dogo ndivyo huashiria makubwa......mind them and you wil be traveling safely in relationship storms.....though.........
 
Last edited by a moderator:
Ila kweli ki2 smile bwana huwa ni suluhisho sometimes,
mie siku moja my nan wangu huyu karud home kachelewa, na mara nyingi akichelewa bla taarifa huwa nakasirika bt this tym ckuwa hata mekasirika, sasa mwenyewe kaja nimempokea akaanza, so nambe umekasirika hata hujaniuliza nimechelewa kwa nn......na blabla kibao, mie niko kimya tu namwangalia, alipomaliza nlichofanya nilitabasam tu kwa jinsi alivyokuwa anajieleza wakat mie hata nlikuwa cjakasirika,kuona nasmile na yy hapo hapo mood ikabadilika coz alikuwa analalamika, na kunisifia akanisifia kuwa huwa napendeza na nnavutia zaid nkismile heheheee na anapata aman sana akiiingia kwa door akakumbana na hyo smile.
nlijifunza ki2 pale,

Nambe yaelekea unapasua nchi kwa mrija................
 
Last edited by a moderator:
Best inabidi wanawake tupige kura kung'oa mafisadi, manake kumbe wanaathiri ndoa hivi eeh? Tunabembeleza ham'bembelezeki

King'asti hata mzee wako sasa ni fisadi...........makubwa haya sasa
 
Last edited by a moderator:
Yaan wadada wanavyo chimba mkwala ,,hapo maana yake wana jizatiti wamechoka kuonewa.............tatizo wahida ni kuwa ukimteremshia kibuti haachi kulalama.........................sasa ugumu ndipo unapooanzia...........
 
BAK............have you ever reached a point of no return in loving someone?
 
Mwanamke anayekunja ndita hafai kutongozwa............... Duh kama mie wala haisimami kabisaaaa.............!
Jamani namaanisha miguu yangu haisimami nikikutana naye kwa sababu ya kuchoka......... Maana watu wenye tabia mbaya weshaanza kunielewa vibaya hapo juu....................LOL

Haki ya mimi eeh! We baba cantalisia wacha kuchakachua hili lisred la malovee. By the way pengine ndo ilikuwa style yao ya kuanzia, pengine msichana alijua hiyo ndo njia pekee ya kupata attention kutoka kwa ampendae (wrong perception). Unajua wanaume wengine hawana social interaction except wakati wa tendo nyeti, sasa pengine mdada hupenda kubembelezwa na hii ni silaha yake ya kuanzia mashambulizi. Midume mingine ni migumuu, hata neno mpenzi kwao ni MUSAMIATI
 
hapo mwanaume ndo anatakiwa awe mjanja aweze kutambua hizi ndita si za chuki bali mwanamke anaogopa kujirahisisha. watongozaji wazoefu kama mimi na wewe Ruta hizi ndita huwa hazitupunguzii kasi. kitongozo kipo pale pale.
 
muhanga usisahau panapofuka moshio panaficha moto......................vitu vidogo dogo ndivyo huashiria makubwa......mind them and you wil be traveling safely in relationship storms.....though.........

my dear maisha ya binadamu yameundwa na vitu vingi vidogovidogo sana, matukio makubwa ktk maisha ya binadamu hutokea kwa nadra sana na si mengi, kwa hiyo hizo ndio changamoto za maisha na mapenzi, usihesabu sana kiiiila kitu, waswahili husema 'muhesabu visa na mapenzi hayawezi' sio siri hii kauli ina ukweli mkubwa sana. mimi niko kwenye ndoa kwa miaka mingi sana, naelelwa vikwazo, changamoto, maudhi, karaha na raha ya mahusiano/ndoa, na always vitu vidogovidogo najaribu sana kuviepuka visiniharibie furaha yangu katika maisha ya mahusiano na si ya ndoa tu hata ujirani, sehemu za kazi, biashara n.k. epuka kuhesabia mwenzako makosa, hakuna aliekamilika dunia hii, na usisahau si kila tabasamu linaanisha tabasamu, wengine wanapotaka kuua huwa wanacheka kwa sauti, usichangangwe na vicheko au smiling face, mara nyingi behind smilling face there is something, whether bad or good, lakinihakuna smiling isiyo na sababu, kwa hiyo bora anaekuonyesha ndita kuadhiria kukasirika kuliko anaekuchekea usoni kumbe rohoni amebeba chuki!
 
Yupo huyu mdada kweli anapendeza sanaaaaaa
Yupo huyu kijana kweli anampenda huyu mdada lol..
Penzi lao laelekea kuwaka na halina kizima moto lakini,
Upo mushkeli katika dimbwi la mahaba yao tarajiwa..
Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?

Sijui ana deko lipi huyu mdada badala ya kicheko
Kila amwonapo njemba wake huanza kukuda ndita!
Jambo aulizwapo huanza kujibu mazogo bila lengo
Kijana ameghafilika hajui anapendwa au anavumiliwa tu
Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?

Swahiba wa mdada wadai naye kashikwa pabaya
Ila hizo ni hadaa zake aonekane kama hajapenda sana
Khofu yake akionekana kafa pengine asije kufa kikwelikweli
Hana imani na kijana kama naye anampenda kiuthabiti
Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?

Njemba sasa imetosheka na udhia sasa yawasha mataa
Mdada kaghafirika hajui la kufanya kwani ndita siyo utu
Kibuti chanukia nami kuwasuluhisha nimeghairi kabisa
Waswahili husema wagombanapo ndugu chukua kapu ukavune
Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?

ndo sura yangu ilivyo
 
Back
Top Bottom