KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,803
- 86,597
Watatu kivipi..?Wewe ni mume wa tatu. Siko single mie
Watatu kivipi..?Wewe ni mume wa tatu. Siko single mie
Nina wanaume watatu. Na wewe ndo mume mdogo babyWatatu kivipi..?
Nina wanaume watatu. Na wewe ndo mume mdogo baby
we hapana kwakweli sikutaki tena mi siwezi kushika no 3Love uuuu
Wanasema isiyokaushwa eti ndo nzuri kwa afyaTunakopa Bondi tunaweka hati feki ya kiwanja chenye kituo Cha polisi.
Ee Kama ni chipsi yai hii yako imekaushwa vizuri Sana Demi 😂😂
Wenzako walikutangulia na kiumri wewe ni dogo sasa iweje uwe namba moja?we hapana kwakweli sikutaki tena mi siwezi kushika no 3
Basi mi nimeamua kuwaachia baki namamtu yako makubwa makubwa!Wenzako walikutangulia na kiumri wewe ni dogo sasa iweje uwe namba moja?
Nesi kungwi , sayuni bidada
Utarudi tu😄Basi mi nimeamua kuwaachia baki namamtu yako makubwa makubwa!
kamwe siwezi...Utarudi tu😄
Huchomoi hapa baby. Ni hasira tu nakusubiri utarudi tu siku si nyingi.kamwe siwezi...
Atarudi wala sina wasiwasiWe were. Ukikosa pa kujiegesha utard tuuuuu
kwenda ushanikera...😎Huchomoi hapa baby. Ni hasira tu nakusubiri utarudi tu siku si nyingi.
Sharing is caring.