HahahahaNakuwaje singo bro na watoto wote hawa,, tusitegeane budaa
Kwa hiyo ndoa ni 'ya kesho tu' siyo?Anyway mdada alieko free tuoane kesho tafadhari ??? Yan kesho tu ....
Process za kufikia lengo la ndoa unazijua?
Kwanini msianze mapenzi ya zimamoto kwanza?
Ndoa ya ghafla ni tamu kwa mtu mnayefahamiana bhana, yaani mnafanyiana supprise.
Hahaha,Ah.
Hiyo ni one day marriage.
And one day x.
Mchezo kwisha.
JF ina wanawake wahuni sana, Nimecheka hizo comments!
Hebu muende mkaolewe muache ujeuri 😂😂😂
Kweli mdada kama Rebeca utamwambia nini akuelewe? Mbishi kama Halima Mdee..Ah.
Ujue insta huko wadada wanachangamshwa .. Huku kutwa wadada tutajadili nao no election. Sasa siku moja moja tunawakumbusha Mambo muhim then tunard kune Mambo ya great thinking.
Ndoa ya hivi aliolewa dada yangu mmoja walikutana club ,asubuhi sheikh kachoma ubani baada ya wiki dada yule ana mkovu mkubwa kichwani na tumaneno twa wanaume wote mbwa tunamtoka 😀