Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 13,095
- 32,776
Kalamu ya Risasi
Ni kweli sisi upata majanga sana ila yeye alimpasua bichwa lake maana aliona lina minywele mingi ila halina akiliHaha. Kikamasi kilimtoka mapema Sana....angetulia hata mwaka..
Af japo ndoa za Kukutana club mzee.
Mara nyingi wanaume ndo tunapigwa na vitu vizito.
KaribuNusrat.
Ivi kwani wewe PM yako inafanya kazi ???
Ngoja nijarb kukuja tuone. 🤣🤣🤣❤️❤️🙏🙏
Ukipata wengi unigawie mmoja wa kufunga naye ndoa JuneUnigawie wa kufunga naye ndoSome timez ilimradi haiumizi hesabu, afya au status yako ... Fanya maamuzi ya kuushtua moyo wako kwa furaha ... utakuja kujishukuru siku unakufa .....
Sababu Kama mwanadamu unahitaji pia Mambo kias flan ya kukufurahisha yakaweka alama / kumbukumbu ya furaha ktk maisha. ....
Anyway mdada alieko free tuoane kesho tafadhari ??? Yan kesho tu .... 😂😂😂
fanya mpango basi tule pilau June😂Nakuwaje singo bro na watoto wote hawa,, tusitegeane budaa
Sitaki kuwekwa moyoniAaaaa wewe naeeeee.
Mbona huchanganyi ???
Huyo ulonae kakuweka ndani.
Mimi ntakuweka moyoni.
❤️🤣🙏❤️
Pilau tutakula restaurant mkuu,, tusitegeane tumeumbiwa sisi hizi pipo🤪fanya mpango basi tule pilau June😂
Uko wapi sahivi? Shela na pete nnavyo hapa mkononi, uje na ua tuEvelyn tafadhari ... Nimepewa target nije kwako ... Naomba anguka kabla sjakurushia mshale wa kopa 😎😎.
Ukufe penzini mwangu ukaamke kesho . Masaa 24 yatakapo kamili na ndoa yetu ku expire ,❤️🙏❤️
Kabla hata hujajieleza sana wewe ni Penseli a.k.a django 😹😹😹
Em kwender kule, nakujulia wapi mimi wewe?? 😹😹Mimi Sio huyo Ila kiukweli unanijua Lamomy ...
Subiri kidogo ntaja nikuchane . Nimebadiri ID kwa sabab flan flan... Ngoja uchaguzi upoteee 😂😂😂.
Sema kimeumana ??
Tunauza vyetu tunauza na vya majirani tunaondokaAhaha. Hatimaye nimempata msela nondo.
Ya I wewe nikikuoa. Jumamosi tunaamka tunaamua tuuze kile kitu tuhamie zetu kwa madiba .. tunauza kweli na tunaenda. 😂🙏❤️.