Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,547
Mungu anajali sana roho ya mtu mmoja anayemheshimu na kumcha.
Kama mchungaji anapotoka lakini ana kanisa, Mungu huwa ananamna zake za kudeal nao. Sisi kama raia tunatakiwa kuzeep up our mouth for him. Na ukigundua mch. hayuko sahihi beba vilago vyako tembea taratibu ukiwa kimya.
Back to you SIR; mkeo ni jukumu lako, huna wa kumlaumu kwa chochote anachokifanya pengine ulimpa uhuru wa kupitiliza ndio maana amefika hapo alipo. Jitahidi kumrudisha katika njia maana kiapo ndicho kinachokufunga na kukubana. Do your best as much as you can so that you can have a clear concious. Siku ya mwisho unachajujibu juu ya mkeo na mkeo anachakujibu juu yako.
Yesu akusaidie kusolve kwa amani na si kwa shari. Dawa ya mito sio moto ila ni maji.
Kama mchungaji anapotoka lakini ana kanisa, Mungu huwa ananamna zake za kudeal nao. Sisi kama raia tunatakiwa kuzeep up our mouth for him. Na ukigundua mch. hayuko sahihi beba vilago vyako tembea taratibu ukiwa kimya.
Back to you SIR; mkeo ni jukumu lako, huna wa kumlaumu kwa chochote anachokifanya pengine ulimpa uhuru wa kupitiliza ndio maana amefika hapo alipo. Jitahidi kumrudisha katika njia maana kiapo ndicho kinachokufunga na kukubana. Do your best as much as you can so that you can have a clear concious. Siku ya mwisho unachajujibu juu ya mkeo na mkeo anachakujibu juu yako.
Yesu akusaidie kusolve kwa amani na si kwa shari. Dawa ya mito sio moto ila ni maji.