Mchungaji wa kanisa ananichukulia mke wangu

Mchungaji wa kanisa ananichukulia mke wangu

Kwa maelezo yako wewe ni fhaifu ndo maana huyo mwanamke anakuchezea ushajua mpaka anaoga kwako bado unachekacheka tu chukua hatua.
 
Mchungaji kula Kondoo ni sawa na Mkristo na Maji ya Uzima😂😂😂
 
Habari wapendwa katika bwana,binafsi mpaka naandika habari hii siamini kinachoendelea,ni hivi nina mwaka toka nihame kutoka mkoa fulani kuja hapa kahama,mimi ni muumini wa dhehebu la roma,lakini mke wangu ni mrokole,baada ya kuhamia hapa kuna mchungaji wa kirokole alianza kunizoea na kunishawishi niwe nasali kwa kanisa lake,nilikata lakini mke wangu alianza kusari na kujenga mazoea na huyo mchungaji,na kumfanya awe anakuja kufanya huduma ya maombi kila siku,kwa kuwa mimi sikujua lolote mazoea yameendelea na hata wakati mwingine ninapokuwa niko kwa kazi zangu huyu mchungaji huja na kushinda kwangu na mara nyingine majirani waneniambia kuwa mke wangu humpa maji ya kuoga na ukizingatia pastor huyu ni kijana wa 30's hana mke,Jambo lililonisitua nikuwa juzi mke wangu aliniambia kuwa anaenda kwa maombi,baada ya muda rafiki yangu tunayefanya kaz pamoja alinipgia simu kuwa kamuona mke wangu anatoka guest na huyo mchungaji,nilipomuuliza wife alikataa na sasa hakuna amani tena,je ni nifanye nini juu la hili wapendwa.

Kama ni ww acha wakuibie tena wamle +255713
 
Habari wapendwa katika bwana,binafsi mpaka naandika habari hii siamini kinachoendelea,ni hivi nina mwaka toka nihame kutoka mkoa fulani kuja hapa kahama,mimi ni muumini wa dhehebu la roma,lakini mke wangu ni mrokole,baada ya kuhamia hapa kuna mchungaji wa kirokole alianza kunizoea na kunishawishi niwe nasali kwa kanisa lake,nilikata lakini mke wangu alianza kusari na kujenga mazoea na huyo mchungaji,na kumfanya awe anakuja kufanya huduma ya maombi kila siku,kwa kuwa mimi sikujua lolote mazoea yameendelea na hata wakati mwingine ninapokuwa niko kwa kazi zangu huyu mchungaji huja na kushinda kwangu na mara nyingine majirani waneniambia kuwa mke wangu humpa maji ya kuoga na ukizingatia pastor huyu ni kijana wa 30's hana mke,Jambo lililonisitua nikuwa juzi mke wangu aliniambia kuwa anaenda kwa maombi,baada ya muda rafiki yangu tunayefanya kaz pamoja alinipgia simu kuwa kamuona mke wangu anatoka guest na huyo mchungaji,nilipomuuliza wife alikataa na sasa hakuna amani tena,je ni nifanye nini juu la hili wapendwa.

Mlokore
Mlokole
Kusari
Kusali
Mkurya wewe uliyehamia khm
 
Ikiwa wewe ni Mkatoliki na mke ni wa dhehebu la kilokole, basi hiyo ndoa imeshavunjika. Mwombe Mungu arude kwenye dhehebu lako.
 
Mnunulie smartphone,wala usipate shida
 
Fanya uchunguzi zaidi ukigundua ni kweli,Achana naye.
 
usinge mwambia mkeo. ulitakiwa kufanya uchunguzi na kuwawekea mtego. sasa saizi mkeo mwenyewe atakuwa anakuonea huruma kwa udhahifu ulionao. nainaonesha wewe ndio ulianza kumkaribisha huyo mchungaji kwako na ukampa uhuru ndani ya nyumba yako..matokeo ndio hayo
 
Mi nakushari uachane naye alafu usubiri mpaka akili zako zikomae ndo uoe tena...kwa sasa kichwa chako hamna kitu
 
baada ya kumtilia shaka wife na safari za church pamoja na cm za mchungaj wake nilimtafutia mchepuko afu nkauambia piga cm mda wote cku kashika cm mesej io naomba nsindikize town fasta nkatupia uyoo; eti mme wng usiende nkasema naenda asinizuie coz mi cjamzuia kwenda kupikia wachungaji.
Jioni narudi zangu anajfanya kunipandia nilipiga kama ng'ombe wa machungo adi leo safari zilipungua, cm zilikata na huwa nikigeuza sura tu ananyamaza
 
Fanya uchunguz kwanza usikurupuke,
 
Kumkaribisha fisi kwenye zizi la mbuzi ili awaombee ni uzembe wa kupitiliza!
 
Back
Top Bottom