Wake za watu wanato..mbwa sana na hawa kanjanjaNa bado unakuta kanisa limejaa hususan kina mama zetu unakuta huwaambii kitu. Hawa jamaa sio bure, nahisi huaga kuna kakitu wanatumia kufanya mind control
Huyo mwamba kumbe ni mtu mbadkhaaa khaaa Kuna Jirani yangu alimtangazia kuwa atamwoa[emoji16]alipopata alichotaka akawa ata simu apokei tena
Kilikua kisu Cha maana mkuu?khaaa khaaa Kuna Jirani yangu alimtangazia kuwa atamwoa[emoji16]alipopata alichotaka akawa ata simu apokei tena
Tatizo ndio hapoWaumini wake huwaambii kitu[emoji3]
Hiyo jamaa yangu hadi aliachana na mkeweWake za watu wanato..mbwa sana na hawa kanjanja
Hata kwa waganga wa kienyeji akina mama/dada ndio wanaongoza kwenda.Sure kuna kitu wanatumia..makanisa yao hayo uchwara unakuta wanajaa kina dada na kina mama..wanapuliziwa kitu hawa
yap mkuu kisu hasa! Pasta aliimbisha kwa gear ya kuoa😁akapiga mzigo akapotea mazimaKilikua kisu Cha maana mkuu?
Hapo tu, yaani kwa Masanja nilichoka, kidogo bashite naye awe mchungaji, achilia mbali GwajiboyAisee kweli, hadi Masanja mchungaji
[emoji23][emoji23][emoji23]yap mkuu kisu hasa! Pasta aliimbisha kwa gear ya kuoa[emoji16]akapiga mzigo akapotea mazima
Acha kabisa mkuuHapo tu, yaana kwa Masanja nilichok, kidog bashite naye awe mchungaji, achilia mbali Gwajiboy
Aisee, Tz bado sana, imagine na wew unaexist katika ardhi hiyoMi sio muumini wakewala sina airtime time nae.
Ila ni ujinga mkuu kufikiri mchungaji,nabii,katekista,mtume,padre au mtumishi yeyote kutokua na hela
Ni umaskini wa fikra kudhani fedha zina milikiwa na akina moo basi wengine hawawezi.
Km ni show off,kuna mtu kakatazwa yeye ku azima fedha na ku show off.?
Umaskini ni mby sana,ndio maana maskini haaminiki.
Hahaha liveWenye hela hawaoneshi hela. Hawabebi makesh kesh hivo.
Wanabeba debit card, tena Black.
Hizo hela mezani hazivuki Mil 7, iPhone 12 Mil 2, HP iyo Mil 1, ilo Didot fake, Saa gharaka..
Ila wivu utaniua.. Tuache awaibie kondoo zake man.
Siku kampigia video call nkamwambia pokea alimuhisi yupo na mwanaume mi nkatoka nje basi akamuonyesha chumba kizima hadi sebuleni kumbe sie tunacheza na camera.
Ikielekea huku mi nachumpa upande wa pili basi akaridhika nikaendelea na mchakato.Kuanzi siku hiyo siamini video call [emoji23][emoji23]
Mi sio muumini wakewala sina airtime time nae.
Ila ni ujinga mkuu kufikiri mchungaji,nabii,katekista,mtume,padre au mtumishi yeyote kutokua na hela
Ni umaskini wa fikra kudhani fedha zina milikiwa na akina moo basi wengine hawawezi.
Km ni show off,kuna mtu kakatazwa yeye ku azima fedha na ku show off.?
Umaskini ni mby sana,ndio maana maskini haaminiki.
Nilikuwa nataka kushiba tu mkuuUlikuwa unakula kinyonge sana.
acha wivu mzee mwache ale bata unaweza ukaona hizo hela amezipata kwa shida[emoji2]Wakuu, huyu bwana mdogo nimekua nikicheck posts zake mitandaoni napata ukakasi kama kweli (roho yu ndani yake) na vile maandiko yanavosema tujihadhari na manabii wa siku za mwisho.
And what's the source of his lavish style?
Ndio mkuuacha wivu mzee mwache ale bata unaweza ukaona hizo hela amezipata kwa shida[emoji2]
mwaka gani hiyo?Tuliwahi gombania demu mmoja Sinza nikajitoa kwenye kinyanganyiro demu akanionea huruma akawa anachukua pesa kwa nabii halafu mimi napewa papuchi for free.