mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
huo ni wajibu wake, hata asipowajibika watu wa iringa daima hawalembi watamuwajibisha wao. iringa kumbukeni tulianza na upinzani kisha uchaguzi uliofuata wakatuchakachua wakakaleta kale kamama bwiga kalipozingua tumekasepesha na msigwa anafahamu fika kuwa tulimpigania kwelikweli hadi akafika mjengoni akituzingua ubunge atausikia kwenye ndoto2015 kwahiyo lazima atiging'ale la sinyo hana chake. pia akumbuke kulipa fadhira kwa mawakala wake aliowadhulumu pesa zao.