johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,750
Nianze kwa kusema RIP Gervas Kalolo
Hapo Mashine 3 ambapo Wamachinga wamebomolewa vibanda vyao Manispaa ya Iringa ndio nyumbani kwao Kamanda Gervas Kalolo RIP wa Chadema
2020 nilishangaa sana kuwaona Wamachinga wanamsikiliza Kasesela na Hapi na kumtosa Mchungaji Msigwa kwenye Ubunge na kumchagua Jesca
Niliwahurumia sana nikasema Mungu wasamehe hawa Wamachinga kwa sababu hawajui Walitendalo
Mlale Unono!
Hapo Mashine 3 ambapo Wamachinga wamebomolewa vibanda vyao Manispaa ya Iringa ndio nyumbani kwao Kamanda Gervas Kalolo RIP wa Chadema
2020 nilishangaa sana kuwaona Wamachinga wanamsikiliza Kasesela na Hapi na kumtosa Mchungaji Msigwa kwenye Ubunge na kumchagua Jesca
Niliwahurumia sana nikasema Mungu wasamehe hawa Wamachinga kwa sababu hawajui Walitendalo
Mlale Unono!