johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,934
- 141,903
Mchungaji Msigwa ameutaka uongozi wa Manispaa ya Iringa kutowabuguzi na kuwasumbua Wamachinga.
Msigwa amesema yeye alikuwa machinga hivyo anaelewa mateso na madhira wanayopata Wamachinga wa Manispaa ya Iringa.
Binafsi namfahamu Peter tangu akiwa anauza Mitumba pale Miyomboni 1980s kabla hajaenda Africa Kusini ndio sababu nilishangaa wafanyabiashara wa Iringa kumsapoti Jesca 2020.
Msigwa ameweka picha ya Enzi zake Ukurasa wa twitter!
Msigwa amesema yeye alikuwa machinga hivyo anaelewa mateso na madhira wanayopata Wamachinga wa Manispaa ya Iringa.
Binafsi namfahamu Peter tangu akiwa anauza Mitumba pale Miyomboni 1980s kabla hajaenda Africa Kusini ndio sababu nilishangaa wafanyabiashara wa Iringa kumsapoti Jesca 2020.
Msigwa ameweka picha ya Enzi zake Ukurasa wa twitter!