johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Maendeleo hayana vyama.
Kiukweli kabisa Mchungaji Msigwa na Meya Kimbe walijitahidi sana kuyabana majizi pale manispaa ya Iringa ndio maana hata stendi ku ya Igumniro ilifanikiwa kujengwa chini ya Chadema.
Na hata Mbeya Sugu alikuwa haogopi fisadi yoyote, ukijipendekeza tu anakulipua
Namshukuru sana Rais Samia kwa kuibeba tena silaha ya " Tumbua Tumbua"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kiukweli kabisa Mchungaji Msigwa na Meya Kimbe walijitahidi sana kuyabana majizi pale manispaa ya Iringa ndio maana hata stendi ku ya Igumniro ilifanikiwa kujengwa chini ya Chadema.
Na hata Mbeya Sugu alikuwa haogopi fisadi yoyote, ukijipendekeza tu anakulipua
Namshukuru sana Rais Samia kwa kuibeba tena silaha ya " Tumbua Tumbua"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!