Mchungaji Msigwa aboronga Bungeni

Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.

Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.


Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.

Nawasilisha.
Umemdharau wewe kama nani? Kama umesoma mbona unatumia ID feki ili tusikujue? Wewe ni wakupigwa na kapuya tu, tumrchoka.
 
siamini kama alikuwa anaelewa alichokuwa anakiandika. hivi tanzania ina ekari ngapi mpaka akate ekari 300 kwa siku. si ndani ya mwaka mmoja nchi ingekuwa haina hata mti mmoja? yaelekea hesabu zinapiga chenga. labda arudi madhabahuni tu ndo kunakomfaa. sijui na huko atakuwa anawaongopea watu? da!
Kweli wewe ni abunuas la kike
 
Umemdharau wewe kama nani? Kama umesoma mbona unatumia ID feki ili tusikujue? Wewe ni wakupigwa na kapuya tu, tumrchoka.
Duh, naona umekuja kwa hasira sana. Wenzako wamechangia kistaarabu wewe unaleta za kuleta. Pole sana Mkuu
 
Ndo muone jinsi akili za watu zinamadudu! yaani watu badala ya kuangalia kusudi la ujumbe au swali la msigwa yeye anaangalia kosa! Ndo maana tanzania hatusongi mbele!!! kwenye masuala ya msingi tunaleta utani na ushabiki. Mimi Msigwa nimemuelewa kabisa tena hata hajakosea kihivyo!
 
Da! naona umejika kwenye vijihesabu vya std 3 na kuviletea thread.Hilo halikuwa suala la msingi. au kwa kuwa unakaa mjini huoni misitu inavyopukutika
 
Nimekuja mbio Mchungaji kaboronga nini tena Bungeni? Kumbe ni masuala tu ya kuteleza ulimi....
Kweli buku saba sasa mnaishiwa vya kukosoa, wasiwasi wangu sijui kwa thread hii kama watoto watakula leo, maana hata kama zinalipwa sio hii ya hivi....!
 
Wakuu, hapa hoja ya msingi ni huku kuboronga kwa Mchungaji Msigwa. kutokana na data zake kutoeleweka, ni wazi kuwa hata kile alichokuwa anakusudia kukisema ni porojo tu al mradi siku iende. Bahati Mzuri Naibu waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene kamueleza mikakati ya serikali katika kukabiliana na uharibifu wa mazingira. Hii ni pamoja na mkakati wa serikali kuwekeza kwenye nishati ya gesi ambayo ndiyo mkombozi wa watanzania wengi

kwa serikali hii, mwananchi wa kawaida gas ataisikilizia kwenye bomba tu, haitamkomboa na bei ya vitu itazidi kusonga mbele! Uongo wa wanasiasa unatumika kuhalalisha ujambazi wao.
 
Kweli wewe ni abunuas la kike
mkuu umeelewa nilichojibu? je unakubali kuwa kwa siku ekari 300 za misitu zinakatwa kama alivyosema mch. msigwa? Tanzania ina ukubwa wa km2 945,000. sasa niambie kama kila siku ekari 300 zinakatwa kingibaki kitu. Anyway huenda na bishana na akili za bavicha. sio saizi yangu.
 
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.

Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.


Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.

Nawasilisha.

Jikite kwenye hoja ya msingi kuwa ni kweli mamilioni ya miti yanatekekea kwaajili ya nishati ya kupikia. Makosa ya takwimu si hoja. Hoja yako inaweza kujumuishwa kuwa wabunge wote na mawaziri waliopo bungeni ni mambumbu kwakuwa kama sivyo lazima angeinuka mmoja wapo kumsahihisha. Sasa kwakuwa hakuna aliyeinuka basi conclusion hapa ni kuwa wote waliopo bungeni wakati Msigwa anaongea ni vilaza isipokuwa wewe. Tatizo kubwa la baadhi ya JF members ni kuacha hoja na kujikita kwenye makosa madogo madogo ya lugha na takwimu na akili zao wakigundua kosa huwa wanajiona wao ni wasomi, wanaacha kuchangia hoja wanajikita kwenye kasoro ambazo haziondoi msingi wa hoja husika. Ona hata mtoa mada hajaongea lolote kuhusu uharibifu wa mazingira kutokana na ukataji miti kwaajili ya nishati ya kupikia jambo ambalo ni kweli ni tatizo kubwa yeye kaona hoja ni tofauti kati ekari na hekta. Hivi msomi unaweza ukatoa hoja kwa kusema "Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407" Kwahiyo ukijua wewe ndio sahihi? Na la ajabu kuonesha kuwa hana uhakika na anacho kijua anasema "Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia"(sijui yeye na nani?) Na katika hali ya kushangaza anasema
"Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake" Hii maana yake ni kuwa hata mtoa mada akikosea yuko tayari kudharaulika. Badala ya kumsaidia kuelewa wewe unamdharau!
Kuna usemi usemao "Kila mjinga na kazi yake" Wewe unaweza kuwa mahiri kwa mfano katika kuendesha ndege lakini ukashindwa kuendesha piki piki au baiskeli. Na ndio maana unaweza kuwa mtaalamu wa sheria lakini ukiugua unakwenda kwa daktari ili akuambie tatizo lako na matibabu yake. Kila mmoja ni mahiri katika fani yake na pia ni mjinga katika fani ya mwenzake au asiyoijua. Yaani wewe "kujua" vijihesabu hivyo tu umeona ni issue ya kukupa ujiko na kujiona sasa wewe ni msomi wa kudharau wengine? Shame on you!
 
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.

Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.


Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.

Nawasilisha.

Mbona yule aliyesema Tanzania ni muunganiko wa Msumbiji na Zanzibar hujamuanzishia sredi?
 
Mbona yule aliyesema Tanzania ni muunganiko wa Msumbiji na Zanzibar hujamuanzishia sredi?

Mkuu, uzi huo ulikuwepo na ulichangiwa sana na machadema. sasa ni zamu ya mchungaji msigwa. mkuki kwa nguruwe
 
Jikite kwenye hoja ya msingi kuwa ni kweli mamilioni ya miti yanatekekea kwaajili ya nishati ya kupikia. Makosa ya takwimu si hoja. Hoja yako inaweza kujumuishwa kuwa wabunge wote na mawaziri waliopo bungeni ni mambumbu kwakuwa kama sivyo lazima angeinuka mmoja wapo kumsahihisha. Sasa kwakuwa hakuna aliyeinuka basi conclusion hapa ni kuwa wote waliopo bungeni wakati Msigwa anaongea ni vilaza isipokuwa wewe. Tatizo kubwa la baadhi ya JF members ni kuacha hoja na kujikita kwenye makosa madogo madogo ya lugha na takwimu na akili zao wakigundua kosa huwa wanajiona wao ni wasomi, wanaacha kuchangia hoja wanajikita kwenye kasoro ambazo haziondoi msingi wa hoja husika. Ona hata mtoa mada hajaongea lolote kuhusu uharibifu wa mazingira kutokana na ukataji miti kwaajili ya nishati ya kupikia jambo ambalo ni kweli ni tatizo kubwa yeye kaona hoja ni tofauti kati ekari na hekta. Hivi msomi unaweza ukatoa hoja kwa kusema "Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407" Kwahiyo ukijua wewe ndio sahihi? Na la ajabu kuonesha kuwa hana uhakika na anacho kijua anasema "Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia"(sijui yeye na nani?) Na katika hali ya kushangaza anasema
"Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake" Hii maana yake ni kuwa hata mtoa mada akikosea yuko tayari kudharaulika. Badala ya kumsaidia kuelewa wewe unamdharau!
Kuna usemi usemao "Kila mjinga na kazi yake" Wewe unaweza kuwa mahiri kwa mfano katika kuendesha ndege lakini ukashindwa kuendesha piki piki au baiskeli. Na ndio maana unaweza kuwa mtaalamu wa sheria lakini ukiugua unakwenda kwa daktari ili akuambie tatizo lako na matibabu yake. Kila mmoja ni mahiri katika fani yake na pia ni mjinga katika fani ya mwenzake au asiyoijua. Yaani wewe "kujua" vijihesabu hivyo tu umeona ni issue ya kukupa ujiko na kujiona sasa wewe ni msomi wa kudharau wengine? Shame on you!

kwa hiyo umekosoa au umesahihisha. napata shida sana kujua point yako
 
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.

Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.


Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.

Nawasilisha.
Weka picha
 
Back
Top Bottom