Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,518
- 34,322
Ndiyo maana umewaita wadanganyifu.Nakwambia hivi, Haya ni mafikirio yako tu.
Kutumia kitu fulani si lazima uki amini.
Nitakupa mfano,
Wanasiasa waki Africa hufungua mikutano kwa sala, kisha wanazungumza uongo na kuwadanganya wananchi kisha humaliza kwa kufunga mkutano na sala.
Ilhali ukishatumia sala/ swala hupaswi kuzungumza uongo.
Kumbe Sala inatakiwa ifanane na matendo yao. Huwezi kunukuu andiko usiloliamini na ukalitumia kwa utetezi.