Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,499
- 113,610
- Thread starter
- #1,361
Jee inawezekana Mchungaji Gwajima ni mtumishi wa Mungu kweli and he was right na hili tukio la Makonda kuzuiliwa kuingia Marekani ni mpango wa Mungu kuwatumia Wamarekani kutuonyeshea ushetani wa Makonda, au Mchungaji Gwajima ni agent wa shetani na Wamarekani nao ni mashetani tuu, na huku kumzuia Makonda kuingia Marekani ni mpango wa shetani, hivyo sasa Mungu atalitumia tukio hili kuudhihirisha, utukufu wake kwa mtumishi wake?
Only Time will tell
P
Only Time will tell
P