Lazima akemee dhambi kwani hata kwenye amri kumi za Mungu hili nalo lipo! "Usimshuhudie jirani yako kwa uongo"
Hata hili nalo hulioni? Sasa kichwa chako kipo kinafanya nini?
Kuna tofauti kati ya kukemea na kuropoka.
Yeye sio wa kwanza kusingiziwa. Hata Yesu alisingiziwa lakini alimuomba Mungu tu awasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo. hajawahi panic na kufanya aache mafundisho na kuanza kuwajadili waliomsingizia uongo.
Ukiona mtu anajiita ASKOFU halafu anapanic na kuanza kuropokaropoka kwa kusingiziwa tu ni dhahiri huyo ni ASKOFU FEKI.
Askofu wa kweli huwa na hekima, hawezi kuchanganyikiwa kwa kusingiziwa na Bashite, Askofu wa kweli angemdharau tu na kuendelea na kupiga injili ya ukombozi.
Ukiona Askofu mzima yupo busy na jambo ambalo anadai ni la kusingiziwa ujue hakusingiziwa - ameguswa penye ukweli.
Askofu Pengo alishawahi singiziwa pia lakini ulishamuona akiropokaropoka kama huyo kichaa wenu?