Paschal_psc
Member
- Nov 9, 2015
- 27
- 4
Ila jamaa anachoniudhi anamchana bashite tu ss amwongezee na mzee ili wote wawe sehem moja mpaka ajiulize atumbue au ajitumbue
Umekosea sana, kwa nn usirudi kanisa lako la awali? RC/Lutheran? Achana na matapeli hao, mungu ni mmoja!Nimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?
Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
Kwani umelazimishwa acha tabia za kiboyaNimevumilia sana lakini sasa nimechoka, yaan ni wiki ya tatu sasa kila nikienda kanisani kusikiliza neno la Mungu katika Kanisa la Ufufuo na uzima ila baada ya kusikiliza neno la Mungu nasikiliza majungu, umbeya na udaku wa mtu anayeitwa Bashite, halafu muda wa sadaka ukifika naambiwa tutoe sadaka, sitakubali tena jumapili hii kufanya hili swala, nitatoa sadaka kama nitasikiliza neno la Mungu mwanzo mwisho, sio majungu, yaan mtu anahubiri majungu tu kila jumapili? sasa, sijui neno la Mungu tutaanza kuhubiriwa lini?
Naomba sana mchungaji husika, jumapili uhubiri neno la Mungu, tunataka kusikiliza neno la Mungu, au basi ongelea Bashite huku ukihusianisha na neno la Mungu na biblia.
bashite aliingia kule na kahawa au?Ukisoma alichosema jana mahakamani utamjua. Wakati alipopatikana na silaha hospital alidai ameiagiza ili kunilinda. mahakamani kasema alikuwa nayo to & from Arusha.
Ni maoni yake mkuuHuyu mleta uzi huwa anakuwa na tujimambo twake ambavyo anataka kuwalevya wana JF. Ukabila na upofu haukufikishi popote. Sema yaliyo kweli yasaidie jamii.
Ktk hili Lowasa anaingia wapi. Kwa non usiseme Mkp na JK walivyokaa kimya. Au unatumika mkuuu.Kama Mheshimiwa Edward Lowasa alivyokaa kimya?
Mbona hamumwambii Askofu wenu FEKI kama makonda ana vyeti FEKI akamshtaki badala ya kufanya ndio injili ya kila siku.YANI UMAJITAHIDI KABISA SIJUI KWA KUSUDI GANI KUTETEA VITU USIVYOKUWA NA USHAHIDI NAVYO. KAMA GWAJIMA ANASEMA UONGO WAKAMSHTAKI. HAYO YA UNABII WA UONGO MI HAYANIHUSU MAANA SIJAAMBIWA NIMEAMBIWA NISIHUKUMU.
Lakini madawa ya KULEVYA kwa kiasi kikubwa yamepungua mitaani na vijana wetu wanapona sasa. Hivi ni kwa nini?Ji tatizo kubwa kiongozi kusikia uvumi mitaani na unalipuka hadharani. No research no right to speak. Unavamia kituo cha TV eti inteligensia imekuambia hivyo then unaumbuka pale unakuta holaaa. Halafu huu mtindo Wa ku-operate secret units ni Wa hatariii sanaaaaaa. Ni kuendesha serikali kimajingu, upendeleo, uonevu na kudharau weledi na kuendekeza uonevu.
Huyo "ASKOFU" wenu atakuwa kweli muuza sembe. Askofu gani wa kweli anaweza kuweweseka eti kwa kusingiziwa tu!Safari hii mliopewa hela mmsafishe Makonda mtaumbuka sana.
Gwajima huwa anapiga panapouma siku zote na aliyepigwa huwa haachi kuweweseka
Huyo Muuza sembe tu huyo. Mtumishi gani wa Mungu anayepanic kusingiziwa tu.Gwajima hachafuliki, mmepaka kuhusu madawa ya kulevya ila ndo kwanza amekuwa mweupe.
Yeyote kati yao .... kutumika siwezi na haiji kutokea , hao wote ni wanasiasa wachumia tumbo tuKtk hili Lowasa anaingia wapi. Kwa non usiseme Mkp na JK walivyokaa kimya. Au unatumika mkuuu.
Lazima akemee dhambi kwani hata kwenye amri kumi za Mungu hili nalo lipo! "Usimshuhudie jirani yako kwa uongo"Huyo Muuza sembe tu huyo. Mtumishi gani wa Mungu anayepanic kusingiziwa tu.