Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Wanabodi,
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "kiumbe".

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa, ndivyo Bwana Yesu alivyofundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kushoto mgeuzie na la kuume. Adui mpende. Samehe saba mara sabini. Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo? .

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au wa mungu?.

Jumatatu Njema.
Paskali

Wewe huyo ni mtu w juu sn kwko siyo kiwngo chko. Uwongo ni upi? Ni kweli yuko juu kuliko huyuo. Uwongo ni upi? Hujui?
 
Kahubiri ukweli, kama kasema alitumia vyeti feki afu kama ni kweli alivitumia, je atakuwa kakosea wapi? Kufichua uovu wa mtu na kuuweka hadharani nako ni kosa?

Alietuhumiwa kula dawa za kulevya mwisho wa siku alionekana inocent baada ya maabara kutoa majibu.

Sasa mtuhumiwa wa vyeti nae ajitokeze kupinga tuhuma zinazoelekezwa dhidi yake. Kimya maana yake ni kweli.
 
alikuwa na kashfa ya upunga hapa amehangaika nayo miaka kadhaa, watu wameisahau, ila wakiamua kuikumbusha atakimbia kijiwe. na hadi leo hatuamini kama alisingiziwa au la. mwache alete zake watu walete ushahidi hapa. manake mtu unasingiziwa upunga, na hapohapo mke amekukimbia kimyakimya...ukibisha kwamba sio punga utaeleweka kweli?
Aisee makubwa scandal ya upunga kwa mwanaume wa kitanzania ni mbaya sana bora kutokufukua makaburi, ila mtu akileta mambo ya Daudi Bashite hamna namna aisee.
 
Sidhan kama huyu askofu aliyejiiita askofu mkuu anaelewa thabibiti ukristu nini.

JE KRISTU ALITUASA TUSHIKE NA KUIISHI AMRI GANI ?

JE KRISTU ALIFUNDISHA NINI JUU YA KUISHI NA MAADUI?

JE KRISTU ALIFUNDISHA NINI JUU YA MCHUNGAJI NA KONDOO?

JE MCHUNGAJI KAMA MWANGA ANA MCHANGO GANI KWA WAAMIN WAKE?

JE HAYA YANAYOFANYWA LEO NA WACHUNGAJI WETU NI SAHIHI?

Inasikitisha kuona kanisa linageuka ukumbi wa maneno ya kidunia yaliyojaa reveng hali ya kuwa yuliambiwa tupende jirani kama tujipendavyo wenyewe na tuwaombee adui na wa kusimamia hili kwa mfano ulio bora ni wachungaji
Gwajima ni Mkristo na sio Mkristu mkuu
 
Kiukweli maombi ya kumuombea mabaya adui si maombi ya kikristo ....hivi hatujiulizi kwanini Yesu aliwasamehe waliomtenda yale? Vita ni juu ya Bwana na si kazi yetu kuhukumu ....tumepewa silaha za kupambana na Roho chafu na kuvaa silaha za vita vya kiroho ....ukianza kupambana kimwili nature ya mapambano ya kimwili itachukua nafasi na mshindi atakuwa yule mwenye mabavu kimwili ....Gwajima amechafuliwa ...ndio ...alishajibu tuhuma kwenye media na polisi ....inatosha ....amtumikie Bwana ambaye ndiye mtetezi ....haya mavita yanamtoa kwenye reli ya Kiroho ....Mungu amsaidie kwasababu amebeba jina la KRISTO na nyuma yake kuna watu wanaomuamini Kristo kupitia yeye ....TUOMBEANE SISI KWA SISI ....
Nani kakwambia sio ya Kikristo hata Yesu alipowatuma wanafunzi kwenye miji aliwaambia mkifika mji usio wakaribisha kung'uteni mavumbi yenu, sasa wewe unataka gwajima anyamaze achafuliwe, Gwajima naye ni binadamu, sio Yesu au Mungu maana ana feel pain, pia Gwajima ka mtumishi kasema ukweli wa udaganyifu wa Bashite.
 
YANI UMAJITAHIDI KABISA SIJUI KWA KUSUDI GANI KUTETEA VITU USIVYOKUWA NA USHAHIDI NAVYO. KAMA GWAJIMA ANASEMA UONGO WAKAMSHTAKI. HAYO YA UNABII WA UONGO MI HAYANIHUSU MAANA SIJAAMBIWA NIMEAMBIWA NISIHUKUMU.
Kuambiwa usihukumu isiwe kichaka cha kujifichia.Biblia hiyo hiyo imetuambia tutumie Akili kama ipasavyo.
 
Nilikua sijui, kumbe na wewe Paskali ni bonge la mshamba kiasi hiki!
Hebu nitajie watu watatu ambao wanatajwa kua kwenye madaraja ya huruma ya Mungu kwenye bibilia. Kuna Rais katajwa hapo? Kuna vitu vingine uwe unajiridhisha mwenyewe kabla hujaleta humu.
 
Mch. Gwajima ametoa tuhuma nzito, na anasema kuwa anamfahamu Bashite toka kijijini walikotoka. Maelezo yake yanaweza kuwa ya kweli sana, ila kwa upande mwingine Elimu ya kiongozi wa umma haiwezi kuwa suala la siri. Nanamwomba RC atutoe mashaka kuhusu hili linalosemwa.
 
04a5e0381fe18ff3d7346c897a1df1a9.jpg


bashite
 
Wanabodi,
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "kiumbe".

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa, ndivyo Bwana Yesu alivyofundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kushoto mgeuzie na la kuume. Adui mpende. Samehe saba mara sabini. Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo? .

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.

Jumatatu Njema.
Paskali
 
Nimesikia Mch Gwajima anasema ukienda NECTA kuomba cheti cha MTU unapewa.

Hivi ndivyo ilivyo pale NECTA kwamba wanagawa vyetu vya watu?
 
Kwanza nampongeza RC makonda kwa kazi Nzuri aifanyayo.pili mchungaji utampangia vp rais amfute kazi RC kazi.nilifikiri Kama mtumishi wa mungu asingeonyesha hasira angempongeza RC ingekuwa katoa Mfano mzuri sana.angemsamehe akakaa kimya angeonekana Ana subira.angewaasa waumini wasijihusishe na madhambi Kama hayo kinyume chake baadhi ya watu watafikiri Kanisa lake linasapoti biashara hiyo haramu.ktk ukristo hakuna mizani ya kumpima mtu?kosa moja la makonda mazuri mangapi kafanya?huyu Bwana
 
Wanabodi,
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "kiumbe".

Japo ni kweli Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alimdhalilisha Mchungaji Gwajima kwa kumtaja kujihusisha na madawa ya kulevya, jee namna ambayo Mchungaji Gwajima, anavyomzungumzia Mkuu wetu wa Mkoa, ndivyo Bwana Yesu alivyofundisha namna ya kuwashughulikia wale walio tukosea?. Yesu alifundisha mtu akikupiga kibao shavu la kushoto mgeuzie na la kuume. Adui mpende. Samehe saba mara sabini. Vipi kuhusu Baba Mchungaji Gwajima kumuishi Bwana Yesu kwa maneno na matendo? .

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.

Jumatatu Njema.
Paskali
Wachawi na wenye mapepo utawajua tu...ikipigwa tu Injili kidogo wao huanza kuhangaika; kimsingi hata Wayahudi hawakumwelewa Yesu ndo wakashtaki kwa Pilato Yesu apate kusulubiwa na kuuawa, they had their wish granted!
 
Back
Top Bottom