Hivi wewe mpuuzi, hayo kwenye bold ndio umeandika nini? Kwanini usiwe makini kabla ya kuhara huo mharo uchunguze kama unafaa? Maneno hayo peleka FB na sio hapa.CHADEMA muwe makini sana na hawa wachungaji!
Kuna aina mbili za viongozi wa dini ya kikisto na aina hizi zilijidhihirisha kwenye uchaguzi wa 2010
Aina ya kwanza ni wale wenye kuitaka CHADEMA iingie madarakati kwa maslah ya kanisa, kundi hili wanafanya kazi zao kwa usiri mkubwa, na unaweza kujikuta unatumiwa bila kujitambua.
Aina ya pili ni wale wenye mlengo wa kutaka CHADEMA isiingine madarakati(probably wanatumiwa na vyama vingine), kundi hili hufanya kazi zao wazi wazi na kuitetea CHADEMA mbele ya camera za waandishi, kundi hili ni la kina gwajima. Lengo kuu haswa la hawa ni kuipamba CHADEMA na kanisa ili watu wengine waiogope CHADEMA kama ukoma. Ujinga wa baadhi ya viongozo wa CHADEMA ni kutokukemea na kuona kama wanapaishwa kumbe ndio wanapakwa matope.
Ni hayo tu kwa leo
Tume ya Katiba
(ADC- chama cha amani,upendo,utulivu na maelewano)
Pili, kwenye Italic hapo ni full contradiction tupu! Sijui akili yako imetengana na mwili na kubakiza fuvu tu????!!!!!!!! Aagggggghhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Unakera sana!