Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero


Morari , sio molari . Nawahurumia . Sio nawahulumia .mlioko . Sio mlieko . Huruma . Sio huluma . Sijui Nani kasoma
 
una dalili zote za kuonesha kuwa una mambo ya kike.Dar watu walivyo bize nani atahangaika na cheti cha mtu
 
Huyu bwana kisheria hayuko salama ila kidikteta ndio yuko salama.

Kwanini nasema hivi?

Tuhuma zake kisheria ni jinai na jinai huwa haina ku-expire hivyo kisheria huyu bwana hayuko salama kabisa bali anachofanya kwa sasa ni ku-buy time tu kabla ya kuja kusimama kizimbani kujibu mashitaka yake wakati ukifika.

Kidikteta yuko salama kwasabu udikteta haujali utawala wa sheria na wala hausikilizi matakwa ya wananchi lakini udikteta una kikomo wakati utawala wa sheria hauna kikomo bali utaendelea tu kuwepo siku zote.

Ni bora Bashite akubali kukabiliana na mkono wa sheria sasa ili hata kama atakutwa na hatia basi anaweza kupewa msamaha baada ya kuhukumiwa na hata jela asikae ila akiendelea kupiga chenga ni hatari zaidi kwake maana hakuna anaejua kwa uhakika ni nani atakuwa mkulu kesho na kama anaweza kumpa msamaha.

Tusubiri ingawa shariti la kumrithi mkulu wa sasa linaweza kuwa ni kumlinda bwana Bashite hivyo wenye nia hiyo mjiepushe kumnonyooshe kidole huyo dogo ili mjiweke katika mazingira mazuri ya majina yenu kupenya wakati ukifika.

Ni hisia zangu kuwa wale watakaokuwa na mahusiano mazuri na bwana Bashite basi ndio watakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kupenya katika mchujo kuliko wale watakaonekana kuwa na uhusiano wa mashaka na kijana huyu.

Ni mtazamo tu.
 
bashite angejisalimisha tu gerezani. aanze kutumikia kifingo chake
 
Maisha Magumu sie tuko na Bashite

Watumishi wa nchi hii wanakatwa asilimia 15 kinyume na mkataba sisi tuko na Bashite

Mfumuko wa Bei uko juu sisi tuko na Bashite

Sukari bei juu sisi tuko na Bashite

Report ya CAG imetoka sisi tuko na Bashite.

SISI MITANZANIA NANI KATUROGA? HARAFU MNATAKA CCM ITOKE MADARAKANI? UPUUZI
 
 
Matatizo ya nchi hii yanasababishwa na ccm.
 
Reactions: dtj
Hao watumishi si wana vyama vyao?! Kazi ya hivyo vyama ni nini?! Vipo kimya kabisa..halafu Usitupangie
 
Huko ccm hakuna hata kiongoZi mmoja anae mkubali bashite..yani kwa mfano baba ake akifa sasa hivi afanye ahame nchi..mana jela haiepukiki kwake.
 
Hao watumishi si wana vyama vyao?! Kazi ya hivyo vyama ni nini?! Vipo kimya kabisa..halafu Usitupangie
KWANI YULE RAIS WA TLS KAZI YAKE NI NINI?

UPINZANI KAZI YAO NI NINI?

BENSAA NANE NA BASHITE NANI NI MUHIMU?

AU WEWE NI KAMANDA WA KUZUNGUSHA MIKONO TU? HIHIIII
 
CHADEMA hovyo sana wameshindwa mpaka kuchagua wagombea wa ubunge EALA kwa uzuzi wao wa kutokusoma kanuni wanahangaika na mambo ya kijinga jinga
 
NA ASIP
Huko ccm hakuna hata kiongoZi mmoja anae mkubali bashite..yani kwa mfano baba ake akifa sasa hivi afanye ahame nchi..mana jela haiepukiki kwake.

NA ASIPOKUFA WATAHAMA WAO AU DUNIA ITAACHA KUZUNGUKA?
 
KWANI YULE RAIS WA TLS KAZI YAKE NI NINI?

UPINZANI KAZI YAO NI NINI?

BENSAA NANE NA BASHITE NANI NI MUHIMU?

AU WEWE NI KAMANDA WA KUZUNGUSHA MIKONO TU? HIHIIII
Chadema ni chama cha wafanyakazi?!!! Bashite mkubwa wewe kazi kuiba vyeti tu
 
Huna kazi Ya kufanya zaidi kumfuatilia mwanaume mwenziyo au wewe ke tafuta kazi ujingezee kipato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…