Za kunyapia nyapia inasemekana eti Paul Makonda a.k.a Daud Bashite alifukuzwa shule akiwa pamba secondary na kuamriwa na bodi ya shule Arudi kufanya mtihani tu wa kidato cha NNE na ndo ikawa sababu yake ya kupata fa fa fa fa masomo yake yote. Wale wajuvi wa mambo wanadai eti alifanya kosa kubwa sana ambalo halivumiliki hata kama wewe ungekuwa mkuu wa shule hiyo. Kwa kuwa mashilawadu waliosoma nae wamo humu watatuambia kwa undani zaidi ni kosa gani kubwa kiasi hicho alilifanya Daud Bashite?
Karibuni mtupe ukweli.
Nimemaliza kazi yangu ya kuibua swala kutoka gizani kuja mezani.
Ni Mimi Rais wenu.
Rais2020.
Duh, yaani wabongo wanafiki balaa, na huu uzi utachangamkiwa kuliko nyuzi zenye tija kwa jamii, and they're quick to blame the government for their misery. Inataka moyo kuongoza jamii yenye wapuuzi
Duh, yaani wabongo wanafiki balaa, na huu uzi utachangamkiwa kuliko nyuzi zenye tija kwa jamii, and they're quick to blame the government for their misery. Inataka moyo kuongoza jamii yenye wapuuzi
DRUGS HAIWEZI KUWA SABABU YA KUVUNJA SHERIA. WOTE WANAOTUMIA, WANOSAMBAZA NA WANAOUZA PAMOJA NA HUYU MWENYE CHITI CHA MTU WANA MAKOSA YA JINAI NA WANAPASWA WAWE GEREZANI!
NASHINDWA KUELEWA KWANINI IWE SPECIAL CASE KWA DAUDI BASHITE WAKATI HUO HUO KUNA AMBAO MWAKA JANA KWENYE UHAKIKI WA VYETI WAMEFUKUZWA KAZI NA WENGINE WAKO JELA!
Wewe kiazi kweli. Nimeamua kuuweka mjadala wazi(open). Sijaufunga(closed) ili kubana uelewa wa watu juu ya kosa lililomfukuzisha. Kwa taarifa yako tunajua kwa nini alifukuzwa. Soma comments za wadau walio wengi na ndio hicho tunachokijua. Sisi ni watu wa mwanza. Tunajua kila kitu.
Wewe kiazi kweli. Nimeamua kuuweka mjadala wazi(open). Sijaufunga(closed) ili kubana uelewa wa watu juu ya kosa lililomfukuzisha. Kwa taarifa yako tunajua kwa nini alifukuzwa. Soma comments za wadau walio wengi na ndio hicho tunachokijua. Sisi ni watu wa mwanza. Tunajua kila kitu.