Acha maneno mengi lete chetiNenda kajipige mabao jitambue kama umekosa maisha, unaandika kwa hasira kama vile Kiongozi Jembe ndie alikuweka kwenye aisha unayoishi.
Eti nani na nani mna majina yao? Eeeeh kituko cha karne zote. Si muwaite mapaparazi waongee mubashara au?
Je pakuripoti pamefungwa milango 24/7?
Kweli akili timamu zilishasepa
Mvivu, mjaa wivu, pundwa, njaa kali, tamaaa inahusu
Michepuko hiyo isipopiga kelele watakula wapi?We kiboko Nyuzi ya bashite ikitupiwa tu humu hata kama umelala usingizi usiku wa manane utashtuka kuja kumtetea, inaonekana hii kazi inakulipa si mchezo.😀
Mkuu ongeza na mingine mitano kama ukomo unazungumzia sanduku la kura lakini kama mambo mengine ugonjwa, natural disaster au natural death sawa. Kudhania J atakaa madarakani awamu moja tu ni ndoto za mchana.Nimeipenda hiyo kauli "jinai haifi.."..naongezea hivi "jinai haifi na anaekupa kiburi ana miaka nane tu imebakia kabla nae kugeuka kuwa nyoka wa kabisa a.k.a "mzee"
MkuuKwani katenda jinai gani mpaka sasa?
We kiboko Nyuzi ya bashite ikitupiwa tu humu hata kama umelala usingizi usiku wa manane utashtuka kuja kumtetea, inaonekana hii kazi inakulipa si mchezo.😀
Huyo baba yake wa kufikia anayedanganyika. Bado miaka mitatu term yale inamalizika na akibahatika tena miaka mitano. There after hakuna atakayekubali huo upuuzi. Ni cello tu bora angeanza saa hizi apewe unyapara mapemaBashite asipokomaa hapo ulipo na akasalimu amri kwa kuachia wadhaifa wake huo alionao,kitakachofuata baada ya hapo ni kwenda mahabusu na tusisahau moja ya kosa lake analotuhumiwa kulifanya linatajwa kuwa halina dhamana.
Sasa hata kama ni wewe utafanyaje zaidi ya kujifanya kauzu?
Hata hivyo,anajidanganya tu maana jinai haifi na yeye wala hana kinga.
Msalimie bandugu Daudi Bashite.
Muulize kwa nini ameacha jina hili zuri la Daudi Bashite na kujipachika la Paulo Makonde?
Uko tayari hata kuwa house grl wa basht tena unafanya kazi bila malipo....Silipwi na mtu yoyote.
Acha maneno mengi lete cheti
Makonda ana angusha utawala wa Magufuli hili halina mjadalaNenda kajipige mabao jitambue kama umekosa maisha, unaandika kwa hasira kama vile Kiongozi Jembe ndie alikuweka kwenye aisha unayoishi.
Eti nani na nani mna majina yao? Eeeeh kituko cha karne zote. Si muwaite mapaparazi waongee mubashara au?
Je pakuripoti pamefungwa milango 24/7?
Kweli akili timamu zilishasepa
Mvivu, mjaa wivu, pundwa, njaa kali, tamaaa inahusu
Daudi bashite ndio fall ya Magufuli hakuna namnaWaterloooooooooo
Unataka kunisukuma nikafungue alerts zilizojazana huko za leo, ukikosa nitashangaaa.
Ha ha ha haaaaaaaaa
Pia sijui nani anatakiwa kukuletea cheti.
Huku ni kujitoa ufaham. Nyani is too clever to pose this question.
Kilicho ubishi wa kitoto ni kipi hasa?Acha ubishi wa kitoto joo
Hakuna kilichowekwa wazi.
Kilichopo ni maneno tu.
Hata huyo anayedaiwa kuwa ndo Paul Makonda mwenyewe sura yake haijulikani.
Hayo majina ya watu unaodai walisoma naye hayajathibitishwa na mwingine yeyote zaidi ya wapinzani wake ambao hawawezi kuaminika kivile.
Hata huyo Gwajima wenu licha ya kudai anavyo vyeti vya Makonda huko ofisini kwake bado hajatuonyesha kama kweli anavyo. Na anaweza kabisa kuwa anatudanganya tu.
Na yeye Makonda kutokukanusha chochote mpaka sasa hivi [kama unavodai] si ushahidi wa chochote wala lolote lile.
Bado kabisa sijaiona hiyo jinai unayodai kaitenda. Sisemi kuwa hajatenda jinai. La hasha. Nasema kuwa sijaona ushahidi wowote ule wa kunishawishi kuwa katenda jinai. Maneno yenu pekee si ushahidi wa kunishawishi mtu kama mimi.
Na hii mada yako wala haina jipya zaidi tu ya kujaribu kuipa uhai habari ambayo inaelekea kaburini.
Mwambieni Gwajima wenu atuonyeshe hivo vyeti alivyonavyo ofisini kwake maana Makonda mwenyewe hataki.
Kwani Makonda ndo kadanganya?Mkuu
Hivi kuidaganya mamlaka iliyomuajiri na kumdanganya Rais sio jinai?
Mimi sijui kama mwanafunzi akipata 0 anapata cheti au la.Mchungaji kasema Ana vyeti viwili kimoja cha Daudi A. Bashite ambacho alipata zero na kingine cha Paul c. Muyenga, swali dogo hapo, Je mwanafunzi akipata zero o-level anapewa cheti!
Kwa mtu mwenye akili timamu kwa sasa hawezi tena kuuliza swali kama hili maana kila kitu kimeshawekwa wazi mpaka majina ya watu aliosoma nao Msingi,Secondary na hata chuoni na wala yeye mwenyewe hajakanusha.