Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

La saba chini
Form 4 chini
Form 6 chini
Chuo cha Ushirika (Miaka 6 badala ya mi3)
Masters Mzumbe chini

Huyu jamaa tukiri tu kuwa ni kilaza period lakini ni mpambanaji sana. Na kisaikolojia ni mlamba na mfunga viatu mzuri. Sitashangaa siku moja akija kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....
 
Hii movie itaisha vizuri pale bunge litakapomweka kitimoto na kuchambua makosa yake yote, na kumwachie rais aamue. Kwa sasa aachwe azunguke nyumba zote za ibada huku akilia kama alivyokuwa akiliza binadamu wenzake.
 
Hv uhakiki ulpokuwa unafanyika,hayo yalifanyika ambayo unataka sasa yafanyike?
 
Ni kwamba alibebwa. Darasa la nne kafeli mara mbili, la Saba kafeli, fomu 4 kafeli, chuo Kikuu miaka 6
 
Kwenye hayo maswali yako pia ongezea swali alianza elimu ya chuo mwaka gani na kumaliza mwaka gani?
 
Ndio hivyo alibebwa. Na yule mama yake aliyeula hivi karibuni yuko sawa?
 
Wanampenda sana Mh. Makonda, hawalali, hawaogi, hawali, hawanywi etc

Wanamuwaza tu, wengi na wivu juuuuuuuuuuu
Mama kama ww ndio mama Daudi mwenyewe aliyekusudiwa kwenye kale ka comment ka instagram, basi anza kuandika maumivu taratibu. Mumeo kashakua mshukiwa wa kutenda uhalifu wa kununua cheti cha mtu na kukitumia. ikibainika, sheria itakata kama msumeno.
 
Ameshasema... Alitumia watu kupata degree.
 
Kuna kiumbe moja hapo anaitwa cocochanel asema watu wengi wanamuwaza na wivu juuuuuuuuuuu.
mwambie huyo cocochanel atueleze kidogo.
wanamuwaza kwa kumtamani au? afafanue hilo japo kidogo.
na wanawivu kuona yuko kwa wengine au? afafanue kidogo
 
akipatikana na hatia ya kutakatisha cheki, ananyang'anywa na cheti na chuo.div 0 huwezi kwenda chuo kikuu.

Aende jela miaka saba aonje kidogo japo miezi sita akirudi aje kuwasimulia akina Gambo na Mnyeti na wale wote wanapenda kulaza wenzao Mahabusu.
 
umeambiwa hiyo degree ya miaka mitatu amesoma kwa muongo mmoja (>10yrs)
 
Njia rahisi kumaliza huu mzozo aonyeshe vyeti vingine ni historia! Hatutaki historia aweke vyeti vyake!!!! Simpleeeeee
 
Alijiongeza. Unamjua Mtanzania pekee anayefanya kazi bill Gates? Kamuulize au fuatilia
 
Maswali mengine ya ajabu kweli!! Yaani full ubashite....!!! Kwanza aliosoma nao MUCCOBS wanasema wazi hata pale aliendeleza ubashite wake!!! Lakini hata kama angekuwa ametoka na First Class bado hiyo haiwezi kuwa hoja kwamba alifeli Form IV how come alitoka na first class!!!
 
Hujafika chuo mkuu, kule Kuna kudesa sana tu. Vijiji wakati wa mitihani, 4-4-2 na course work za kununua au kujipendekeza sana. Ndiyo maana Professional bodies huanzishwa. Kama ilivyo NBAA kule hakatishi mtu na degree za kibashite bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…