Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

We bado una hayo tu!

Ulitaka awe na yapi?uibe cheti utegemee kufumbiwa macho?hili litakuwa kama mzimu,tukiamka tunalo,tukilala tunalo,hadi hapo haki itakapotendeka kama watumishi wa vyeti feki walivyoondoshwa serikalini.
 
Ulitaka awe na yapi?uibe cheti utegemee kufumbiwa macho?hili litakuwa kama mzimu,tukiamka tunalo,tukilala tunalo,hadi hapo haki itakapotendeka kama watumishi wa vyeti feki walivyoondoshwa serikalini.
Alimuibia mama yako or? Huyo unayedai kaibiwa amefungua Kesi wapi na lini?
 
Ndalichako mwenyewe kakaakimya,mchungaji yupo ndani yaani hili hataliongelewe vp hakuna kitakachofanyika
 

akikanusha utamwamini, angekanusha next day ungemwamini?? be honest
 
duuh,,, yan wabongo msiguswe,,, mshaanza kumsakama na kwenye uraia?? Hapo mnadanganya thatha,,
ni raia wa wapi labda mkongo au??
 
duuh,,, yan wabongo msiguswe,,, mshaanza kumsakama na kwenye uraia?? Hapo mnadanganya thatha,,
ni raia wa wapi labda mkongo au??

Ni hatari sana chokoza nyuki lakini si wabongo.
 
duuh,,, yan wabongo msiguswe,,, mshaanza kumsakama na kwenye uraia?? Hapo mnadanganya thatha,,
ni raia wa wapi labda mkongo au??

Tufike muda tuache unafiki,,,nyie ndo wauza poda wenyewe,, kwa nn mumsakame kias icho BASHITE wa watu??
 
Alimuibia mama yako or? Huyo unayedai kaibiwa amefungua Kesi wapi na lini?

Ameiba cheti cha watu kwa njia ya udanganyifi.Nipeleke wanapouza vyeti vya form four basi.Na kama lako kwanini asinunue kwa jina lake.Fafafafafafafaf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…