Ulitaka awe na yapi?uibe cheti utegemee kufumbiwa macho?hili litakuwa kama mzimu,tukiamka tunalo,tukilala tunalo,hadi hapo haki itakapotendeka kama watumishi wa vyeti feki walivyoondoshwa serikalini.
Ulitaka awe na yapi?uibe cheti utegemee kufumbiwa macho?hili litakuwa kama mzimu,tukiamka tunalo,tukilala tunalo,hadi hapo haki itakapotendeka kama watumishi wa vyeti feki walivyoondoshwa serikalini.
Ingekua tuhuma za uongo ninavyomjua bashite mtu wa media ungemuona tayari radio mawingu au TV mawingu akikanusha, kwani issue ya kukanusha vyeti si dk chache tu sasa yeye mbona anachukua mda mrefu? Au ndio wanamsaidia kutengeneza vingine, mimi ninavyo original ukitaka kuviona nitafute
Hapana siyo kosa mkuu, hasa ukiwa kiongozi wa serikali na kada wa chama pendwa kosa linajifuta automatically. Msamehe bure huyo hajui chama chenu kinavyoendeshwa.