Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa

Niko Zanzibar na naijua Zanzibar vizuri.
Kwanza wewe jua tu, wazanzibar karibu wote kihistoria ni wahamiaji, wapo waliotoka bara na wapo waliotoka nchi za mbali na visiwa vya jirani.

Pili dini karibu zote zilizopo hapa Zanzibar zimeletwa kutoka mbali (sio dini za asili za wazinzibar), uislamu uliletwa na waarabu na ukristo uliletwa na wazungu huenda hata kabla ya hizo dini kufika Tanganyika, dini za asili hapa Zanzibar ni zile za jadi na mpaka leo zipo!

Sasa jiulize tu, eneo la Zanzibar lenye ukubwa sawa na wilaya Sengerema, lenye 99% ya waumini wa dini ya kiislamu inawezekanaje haya kuwepo;

-Kuna zaidi ya bar 30 zenye kuuza pombe 24hours
-Kuna mahoteli na migahawa zaidi ya 5 yenye kuuza kiti moto 24hours
-Kuna utitiri wa makahaba kila mtaa
-Kuna mashoga kila mtaa
-Kuna utiriri wa mateja na wauza ngada kila mtaa.
-Kuna guest bubu na madanguro ya kienyeji karibu kila mtaa.

Jamani tusiuhusishe uislamu na vitu vya ajabu, uislamu sio utamaduni wa kiarabu na mila za watu wa pwani, uislamu ni imani halisi inayohubiri Amani na Ibada, muislamu halisi hawezi kumchukia mtu mwingine anayeabudu imani zingine.
Zanzibar ni wadini kupita kiasi
 
Na kuhusu kuwa Serekali ya SMZ haina dini hio sio kweli, SMZ ina dini na pia ina dhehebu lake. Hata waislamu wasio katika dhehebu ambalo ndio dhehebu linaloshika hatamu wanapata tabu sana. Kama utakua na kumbukukumbua jaribu kukumbuka vizuri vurugu za 90's - 2000's za baina ya Serekali na Aliekua Sheikh Mkubwa wa Dhebu la Ahli Sunna pamoja na Ansar Sunna wengine Sheikh Nassor Bachu, FFU walikua wakiingia mpaka miskitini kupiga watu.
Serikali nzima ya Zanzibar ni waislamu tupu
 
Niko Zanzibar na naijua Zanzibar vizuri.
Kwanza wewe jua tu, wazanzibar karibu wote kihistoria ni wahamiaji, wapo waliotoka bara na wapo waliotoka nchi za mbali na visiwa vya jirani.

Pili dini karibu zote zilizopo hapa Zanzibar zimeletwa kutoka mbali (sio dini za asili za wazinzibar), uislamu uliletwa na waarabu na ukristo uliletwa na wazungu huenda hata kabla ya hizo dini kufika Tanganyika, dini za asili hapa Zanzibar ni zile za jadi na mpaka leo zipo!

Sasa jiulize tu, eneo la Zanzibar lenye ukubwa sawa na wilaya Sengerema, lenye 99% ya waumini wa dini ya kiislamu inawezekanaje haya kuwepo;

-Kuna zaidi ya bar 30 zenye kuuza pombe 24hours
-Kuna mahoteli na migahawa zaidi ya 5 yenye kuuza kiti moto 24hours
-Kuna utitiri wa makahaba kila mtaa
-Kuna mashoga kila mtaa
-Kuna utiriri wa mateja na wauza ngada kila mtaa.
-Kuna guest bubu na madanguro ya kienyeji karibu kila mtaa.

Jamani tusiuhusishe uislamu na vitu vya ajabu, uislamu sio utamaduni wa kiarabu na mila za watu wa pwani, uislamu ni imani halisi inayohubiri Amani na Ibada, muislamu halisi hawezi kumchukia mtu mwingine anayeabudu imani zingine.
Unaongopa, Uislam unataka kila mtu awe Muislam nje ya hapo wewe ni KAFIR
 
Kwa hyo mabwabwa Wana thaman kubwa huko zenji?

Ila tambueni dini tumeletewa na mkoloni

Watu hawajiulizi mbona hakuna nabii mwenye rangi nyeusi yaan mwafrika ina maana SS weusi tulitengwa hatukuhtaji dini

Watakatifu wote watu weupe weus n wakuhesabu Sana Tena had tuwalazmishe

Msikitini lugha n kiarabu TU Kwan MUUMBA hasikii kiswahili kwann tusiswali kiswahili ili kila mtu aelewe?

TUJIOKOE KIFIKRA

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Manabii weusi wapo bhana akina nabii Tito na wenziwe!
 
Mtu anayejitambua na kujielewa hahitaji kuambiwa wala kuelekezwa maana halisi ya uislam,uislam haujawa sahihi kama haujajionyesha kwa kujitenga na kuwatenga wasiokuwa waislam,kudhihaki/kubagua wasiokuwa waislam pamoja na kuwatukana wengine hata wewe hapo unajua ila kuandika tu hapa ndo hutaki/nikusema uislam ktk eneo mahalia unatakiwa uwe peke yake bila uwepo wa Christians,Buddha au Atheists tofauti na hapo ni kata kichwa choma Kanisa sijui uwa mchungaji ili waogope wasilimu!

Kufanya vurugu kwa sababu eti tunamtetea so called alaha na deen yake,hiyo kusemwa uislam ni dini ya amani na haki inamaanishwa ni ya amani na haki pale ambapo upo uislam peke yake na uwe ni wa dhehebu moja pakiwa na madhehebu mawili Shia sijui Sunni ni vurugu tupu.uislam Tanzania hauna amani ndo mana sarakasi zote hizi zinatokea.

Hakuna Mungu wa hivi nakuapia!

Hawa waliokuja kuuwa waislamu Zanzibar kwa maalfu walitoka kanisa lako? Hivi unaisoma biblia yako vizuri ?
Humo ndio Kuna amri Za kuuwa wasio wakristo , Na tunawaona mnavyouwa watu kila unapofika uchaguzi.
By THE way waliompiga risasi Lisu ni waislamu ? Wale waliompoteza Ben Saanane Na wengine ni waislamu ?
 
Jinsi gani mlivyo na upeo mdogo..mali na fedha kutoka Tanganyika mnataka na mnalilia mpewe ziada..ila watanganyika hamuwapendi..ndio ule ule unyani wakukataa kula kitimoto ila supu yake mnakunywa..absurd.

#MaendeleoHayanaChama
Mali gani mnayotupa Bure ? Labda kuja kutuuwa , kututia vilema Na kutuvutugia nchi Na kuweka vibaraka wenu kila ufikapo uchaguzi
 
Dini ya magaidi hiyo..wazee wa jihadi kuua binadamu wenzao..kumpigania mungu asiye weza kujipigania..

Inasikitisha sana.

#MaendeleoHayanaChama

Dini yenu ni ya amani kwani Yesu aliwaambia wengine ndiyo hivyo

wjd-billboard-born-gay.jpg
 
Mtu anayejitambua na kujielewa hahitaji kuambiwa wala kuelekezwa maana halisi ya uislam,uislam haujawa sahihi kama haujajionyesha kwa kujitenga na kuwatenga wasiokuwa waislam,kudhihaki/kubagua wasiokuwa waislam pamoja na kuwatukana wengine hata wewe hapo unajua ila kuandika tu hapa ndo hutaki/nikusema uislam ktk eneo mahalia unatakiwa uwe peke yake bila uwepo wa Christians,Buddha au Atheists tofauti na hapo ni kata kichwa choma Kanisa sijui uwa mchungaji ili waogope wasilimu!

Kufanya vurugu kwa sababu eti tunamtetea so called alaha na deen yake,hiyo kusemwa uislam ni dini ya amani na haki inamaanishwa ni ya amani na haki pale ambapo upo uislam peke yake na uwe ni wa dhehebu moja pakiwa na madhehebu mawili Shia sijui Sunni ni vurugu tupu.uislam Tanzania hauna amani ndo mana sarakasi zote hizi zinatokea.

Hakuna Mungu wa hivi nakuapia!

Ndiyo mkakubali kuolewa Na wachungaji wazungu

5b5f2a784ac7c.png
 
Ndiyo mkakubali kuolewa Na wachungaji wazungu

View attachment 2149518
Tatizo mpemba wewe ume-panic,maneno niliyokupa hapo juu yamekuchanganya kiasi umeni-quote mara mbili na zote hujajibu hoja zangu kwamba ni nini maana ya uislam?

Mind you,hakuna sehemu wanachomekana nyama kama hapo Zanzibar ni vile wao hawatangazi hadharani tofauti na hao wajinga wenzako uliowaweka hapo so mjadala na wewe uishie hapa huna hoja.
 
Tatizo mpemba wewe ume-panic,maneno niliyokupa hapo juu yamekuchanganya kiasi umeni-quote mara mbili na zote hujajibu hoja zangu kwamba ni nini maana ya uislam?

Mind you,hakuna sehemu wanachomekana nyama kama hapo Zanzibar ni vile wao hawatangazi hadharani tofauti na hao wajinga wenzako uliowaweka hapo so mjadala na wewe uishie hapa huna hoja.

Hizo nyama huwa wanachomekana kwenye nyumba Za ibada?
Wewe Una chuki Na wapemba au walikuchomeka nyama ukiwa umelewa?
 
Huwezi kusikia atheist kavunja kanisa

What is funny?

Ni pale wanaosali na kuvunja nyumba za ibada za wenzao ndio wakijinasibu kuwa wana high morals kuliko atheists
Sasa si ni wachache hamna nguvu na mmejificha, sasa kama wewe si ajabu una jina la kizungu ambalo hutafsiriwa ni mkristo na hata kwa watu zako wa karibu wanajua ni mkristo huambii kuwa mimi ni mkana Mungu.
Sasa hapo hata wewe ukienda kuvunja kanisa, kufanya ujambazi n.k nani atajua kuwa ni atheist?
 
Kwa akili zako ndefu unaona nyie huwa hampigi kelele?


Au kwa vile tunawavumilia tu mnaona mko Sawa?
Ila kiukweli huo unaoita uvumilivu ni pale tu ambapo hamjaguswa sehemu zenu ila ukiguswa hakuna uvumilivu.
Huku bara wanaolalamika ubaguzi (mfumo kristo) siku zote ni waislamu ila majibu mnayowajibu ni kuwa hawana elimu wanapenda kulalamika na maneno mengi ya karaha.
 
Back
Top Bottom