Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

i dont want to see this post

  • i dont to see this post

    Votes: 0 0.0%
  • i dont want to see this post

    Votes: 2 100.0%

  • Total voters
    2
  • Poll closed .
1423580872966.jpg
 
We si muaminifu, ulienda guest na kufanya nini?,Na ungekuta si yeye ungeacha kumgegeda?
Yaani umekuwa kama chatu na Mbwa? Mbwa mbele ya chatu huwa anajipeleka mwenyewe!
 
Geuza sinema hiyo iwe upande wako halaf mchumba wako akubali appointment ya guest hse, haya jihukumu mwenyewe sasa!
 
Mkishakuwa kwenye uhusiano ambao mnaishi kwa kujaribiana achaneni tu!
 
Hahahhaaaaaaaaaaaaa! NEXT TIMEMTU HUMJUI AKIKUTONGOZA MKOPE KILO! Akiwa serious atatoa, kama ni kukujaribu tu, kila nyingi sanaaa.
 
Piga chini anakuzeveza huyooo! Tulia na mchumba wako ole wako
 
Utoto kama aina fulani hivi ya ukichaa
 
Khaa!! Kama aliweza kutumia namba usiyoijua nawe ukaweza kulipia room hotel basi Kwa akili zenu zilivyo hamruhusiwi hata kuwa majirani kwani ni hatari kwa majirani wengine
 
Ha ha ha.. Jaribio dogo tu umefeli Mkuu.. Kuna wakati huwa tunajipimia mitihani ya kuwapa wenziwetu ili tuweze kuwaamini.. Kama ni mwanamke mwenye msimamo huyo hatataka tena kuwa na wewe na yuko sahihi kabisa..
Haiwezekani uingizwe mkenge kiulaini namna hiyo wakati wewe ni mtoto wa kiume..
 
Tamaa mbaya, unaonekana unapenda sana vya mteremko, ulijua umepata kumbe umepatikana. Mfuate mwambie ulijua kama ni yeye kwa hiyo ulitaka kuona je angekuja guest kweli. Lakini kwa sababu hujaja sasa unamuamini zaidi.
 
Wewe nawe kamtego kadogo hv..unaingia..yaonekana hujawa proffesional..utakubalije kuchukua chumba bila kumjua huyo dem bhana...upo hovyo kabisa!
 
Tamaa mbaya, unaonekana unapenda sana vya mteremko, ulijua umepata kumbe umepatikana. Mfuate mwambie ulijua kama ni yeye kwa hiyo ulitaka kuona je angekuja guest kweli. Lakini kwa sababu hujaja sasa unamuamini zaidi.

huyu kashalikoroga......ajitahidi tu alinywe.....
 
Ha ha ha.. Jaribio dogo tu umefeli Mkuu.. Kuna wakati huwa tunajipimia mitihani ya kuwapa wenziwetu ili tuweze kuwaamini.. Kama ni mwanamke mwenye msimamo huyo hatataka tena kuwa na wewe na yuko sahihi kabisa..
Haiwezekani uingizwe mkenge kiulaini namna hiyo wakati wewe ni mtoto wa kiume..

Kweli nimefeli mtihani mdogo sana, na ilikuwa mwezi wa 3 nikalipe mahali, najuta sana, najaribu kumuomba msamaha anisamehe tu kibinadamu nimekosea, ye bado hataki kukubali anataka tuachane, kiukweli imenipa funzo kubwa sana na akikubali kunisamehe mi ctarudia hata
 
Huyo hakuhitaji ndo maana katafuta sababu ya kuachana na wewe. Achana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom