theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,726
Nahisi atakuwa anavuta hisia za mkuyenge wa mwanamme mwenzake mkuu...Nimeshangaa sana kusema yeye ni mvulana na umri huo.
Nahisi atakuwa anavuta hisia za mkuyenge wa mwanamme mwenzake mkuu...Nimeshangaa sana kusema yeye ni mvulana na umri huo.
Nahisi atakuwa anavuta hisia za mkuyenge wa mwanamme mwenzake mkuu...
Mtamuua mtu Siku moja humu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amelinganisha na wa kwake akahitimisha kuwa yeye ni mvulana
Mtamuua mtu Siku moja humu

Hahaha ila kweli sio mvulana na inawezekana aliamini kabisa kuwa ataoa huyo Dada![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Humu ukitaka kuleta jambo uwe tayari pia kupokea kila litakalojitokeza kuhusu jambo lako.
Hapa tunampa ukweli kabisa, na umri huu hawezi kujiita Mvulana na kushindwa kutatua jambo lake huko.
Ungeweka picha hizo hapa ingependeza zaidiSalaam wanabodi,,,
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 31 niko kwenye mahusiano na mdada flani huu ni mwaka na miezi 4 na nilipanga mwezi wa 7 nipeleke posa nimuoe,,!!! Tatizo huwa hatukai pamoja tuko mikoa tofauti hivyo mara kwa mara yeye huwa anakuja kila akipata nafasi'' wiki 2 zilizopita alikuja kwangu kwa bahati mbay niliomba simu yake kuna kitu nilikuwa naangalia "Lahaullah" sikuamini nilichokiona. ,,nimekuta kuna jamaa wanatumiana picha za utupu,,yaani yy anatuma uchi wake na yy anatumiwa mtulinga wa jamaa!! Nashukuru sikufanya chochote kibaya zaidi ya kumpa nauli arudi alikotoka!! Napata wakati mgumu sana wandug
No bro thats not an issue for lovers.....Kitendo cha kutumiana "NYUCHI" maana yake ni kwamba mtumaji na mpokeaji wote hawajielewi
Nahis ameandka akiwa na stress...Ila nawe 31yrs halafu mvulana unatuangusha mzee.
Wewe mwanaume banah.