Mchumba wangu kamtumia ex-wake picha za uchi

Mchumba wangu kamtumia ex-wake picha za uchi

Ndio maana wakubwa wetu waliotutangulia wanatuambia tuchunguze kwanza watu kabla hujaoa tunawaona wazee. Anyway umemkamata mtu wako na kidhibiti kwa hiyo maamuzi unayo,tunaweza kukwambia umuache kesho mkapeana mapenzi baadae ukatuona sisi ndo wabaya.MAAMUZI NI YAKO UENDELEE AU UACHE NI WEWE.
 
Ndio maana wakubwa wetu waliotutangulia wanatuambia tuchunguze kwanza watu kabla hujaoa tunawaona wazee. Anyway umemkamata mtu wako na kidhibiti kwa hiyo maamuzi unayo,tunaweza kukwambia umuache kesho mkapeana mapenzi baadae ukatuona sisi ndo wabaya.MAAMUZI NI YAKO UENDELEE AU UACHE NI WEWE.
Nashukuru mkuu
 
Pole sana mkuu huyo mchumba hafai

Huu si ushauri wa kufaa kabisa. Kama tiyari kesha achana naye, nadhani sasa atakuwa mwaminifu zaidi kwa huyu wa sasa. Kutumiana picha tu, tena za viuchi vyao kama vilivyo tu wala si zana zikiwa kazini nadhani anamtamanisha tu kuwa; Umezira chitamutamu, sasa kuna mwenee
 
Kama huyo Ni Mchumba wako na alikuwa anajua mna mpango wa ndoa Pole sana maana HAKUNA KITUU HAPOOO...na hakufutaa sio kwamba kasahau no hajali yanii hata kama ukionaa...!! Sasa wew nahisi unampenda kufaa pole sana mzee.... Kama una moyo wa Kiumee... MPOTEZEEEE alafu hizo picha ungezichukua siku akikuuliza why umemuacha bila sababu Mtumie hizo Pichaa Mpigee block mazimaaa... KAMA UNAWEZA LAKINIMaana nahisi umedata nae sanaa
 
Sasa mkuu ushajionea mwenyewe huku unataka ushauri upi unadhani hapo kimbia sio wako huyo
 
Kama huyo Ni Mchumba wako na alikuwa anajua mna mpango wa ndoa Pole sana maana HAKUNA KITUU HAPOOO...na hakufutaa sio kwamba kasahau no hajali yanii hata kama ukionaa...!! Sasa wew nahisi unampenda kufaa pole sana mzee.... Kama una moyo wa Kiumee... MPOTEZEEEE alafu hizo picha ungezichukua siku akikuuliza why umemuacha bila sababu Mtumie hizo Pichaa Mpigee block mazimaaa... KAMA UNAWEZA LAKINIMaana nahisi umedata nae sanaa
Sijadata ni kawaida tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom