Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,404
- 8,699
Pole mkuu jipange tu upya hamna jinsi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Endelea kuwa na wakati mgumu tu mana hakuna namna.
Wewe miaka 31 unajiita mvulana. ??
Nyamb. ....fu wa hedi.
Yeye si alikiba. Kinga ni bora kuliko tibaMama Salma Mama wa Bagamoyo mke wa Rais mstaafu alitoa usia ile jana kwamba msiangalie simu za mwenza wewe ukukalili hilo,
Safii sana hivi viumbe sijui wanatumia nini kufikiria sasa mkuu kabla huja amua kuweka chombo ndani hakikisha umewatafuna kisawasawaYa nini chief? mim kuna mwanamke hadi leo analia maana aliniacha kwa mbwembwe aliahidiwa mambo makubwa wakati huo sina kazi. kaishia kuzalishwa watoto 3 na kupigwa chin hata hajaolewa. Alivyosikia nimepata kazi akawa anajigonga nikamwambia tulishamalizana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu asee umenifanya nikacheka sana jamaa sio kama kumaliza siku mbili ndio akapost humu angejiita mtoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Amelinganisha na wa kwake akahitimisha kuwa yeye ni mvulana