Na anapo bleed pia huvaa nguo zako?
The Boss am starting to question your age and experience in 'some of these matters'. Umeambiwa mtu akibleed havai chochote cha kumsitiri???
Habari za asubuhi wapendwa.
Nina mchumba wangu ambae anasoma chuo sasa, na mara nying hupenda kuja kushinda kwangu weekends. Sasa sijui ni nini, huyu mdada anapenda sana kuvaa nguo zangu na kushinda nazo au kulala nazo. Naombeni wana jf mnisaidie hapa, tatizo linaweza kuwa nini?
Habari za asubuhi wapendwa.
Nina mchumba wangu ambae anasoma chuo sasa, na mara nying hupenda kuja kushinda kwangu weekends. Sasa sijui ni nini, huyu mdada anapenda sana kuvaa nguo zangu na kushinda nazo au kulala nazo. Naombeni wana jf mnisaidie hapa, tatizo linaweza kuwa nini?
Ishu ni kinyaa tu..hapa
haswaa kwa wanaovaliana boxer..get it?
no I dont. Funny that you mention Kinyaa. Unavaa nguo safi, ya mpenzi wako. Whats the big deal? Munafanya mangapi ambayo katika hali ya kawaida yanaweza kuleta kinyaa? Come on.
hujui mapenzi wewe.mapenzi na kinyaa wapi na wapiNimesema only siku za ku bleed sitaki avae boxer yangu...
get it?....anaweza vaa t shirt....
hujui mapenzi wewe.mapenzi na kinyaa wapi na wapi
Habari za asubuhi wapendwa.
Nina mchumba wangu ambae anasoma chuo sasa, na mara nying hupenda kuja kushinda kwangu weekends. Sasa sijui ni nini, huyu mdada anapenda sana kuvaa nguo zangu na kushinda nazo au kulala nazo. Naombeni wana jf mnisaidie hapa, tatizo linaweza kuwa nini?