mkuu mbona hilo la kawaida sana.....kwan huyu si wako sasa woga wa nini? anafua yeye na anavaa yy tatizo nini sasa hapo....tena kama vipi na wewe kamata bikin zake cku moja moja unavaa shaka hakuna ndo mapenzi hayo
Na wewe vaa sidiria yake, mtatoka ngoma draw.Habari za asubuhi wapendwa.
Nina mchumba wangu ambae anasoma chuo sasa, na mara nying hupenda kuja kushinda kwangu weekends. Sasa sijui ni nini, huyu mdada anapenda sana kuvaa nguo zangu na kushinda nazo au kulala nazo. Naombeni wana jf mnisaidie hapa, tatizo linaweza kuwa nini?
nimempata nani tena mkuu?? SURPRISEHilo la ye kuvaa bikin ciafiki Rashidi ,ndo maana tunaweza vaa suruali bt nyie hamuwezi kuvaa sketi bila gimzo mjini.
Afu Rashidi c ushapata hiyo Single ya nini sasa c ubadilishe
tatizo hutaki kumnunulia zake.sasa wewe unadhani yeye atavaa nini aisee!habari za asubuhi wapendwa.
Nina mchumba wangu ambae anasoma chuo sasa, na mara nying hupenda kuja kushinda kwangu weekends. Sasa sijui ni nini, huyu mdada anapenda sana kuvaa nguo zangu na kushinda nazo au kulala nazo. Naombeni wana jf mnisaidie hapa, tatizo linaweza kuwa nini?
Hata mi nilikua nashangaa jamaa vp! Actually i thought guys find it sexy msichana anapovaa nguo zao!!!Kaka hapo usimkataze hata kidogo, anakufeel mno!!!!!!!!!!!!!!!:majani7:hizo pia ni namna na kukukubali sana kamanda na kukupa hisia, wewe vipiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii bana????:majani7:
Yeah. Alishachukuaga boxer kama mbili hivi kazifanya zake
Nauliza why?
habari za asubuhi wapendwa.
Nina mchumba wangu ambae anasoma chuo sasa, na mara nying hupenda kuja kushinda kwangu weekends. Sasa sijui ni nini, huyu mdada anapenda sana kuvaa nguo zangu na kushinda nazo au kulala nazo. Naombeni wana jf mnisaidie hapa, tatizo linaweza kuwa nini?