Mwambie aitoe...
Naunga mkono hojaMwache, umwachie mwanaume aliyempa mimba. Wewe tafuta mchumba mwingine. Huyo hakuwa ridhiki yako...
View attachment 527641
Asante mkuu Huu ni mtihani aiseeohooo majanga mkuu..pole yako
Sasa kwa nn akaja kwangu?huyo ni mchumba wa huyo aliyempa hiyo mimba mkuu.
Ushauri tu unatosha mkuuKwa hiyo unataka nikusaidie nepi au jina la mtoto? Una bahati sana, yaani unaoa kitu ndikwasi
Kutoa mimba ni kosa la jinai pia anaweza akapoteza maishaMwambie aitoe...