Asante japo bado nahisi niko ndotoniDuh! Aisee!
Poleni sana mkuu.
Haya mambo haya, mmnh!!!
We nadhani haujasoma huo uzi vizuri, kuna sehemu kasema mchumba wake ni bikra.kuna mambo mawili, ni mchumba wako maana yake ni girlfriend huwa mnafanya uasherati pamoja au ni mchumba yule aliyeokoka ambaye mnasubiri hadi ndoa ndio mshirikiane tendo? kama hajaokoka na huwa mnafanay dhambi ya uasherati, pole sana, upo na muonaji ambaye ni sawa tu na mganga wa kienyeji, kwasababu Roho wa Mungu huwa hakai mahali pachafu penye uzinzi na uasherati. wapo waonaji wengi tu wenye mapepo ya kuona na kutabiri, wengine ni wajukuu wa waganga wa kienyeji hivyo wanarithishwa mikoba tangu utotoni, wengine mashetani ya ukoo yamewavamia, watu wa aina hiyo nawajua wengi sana na wanaweza kukuambia kitu ambacho ni cha kweli kitatokea. kwahiyo kama hamjaokoka, ni kwamba unashirikiana na mtu mwenye mapepo na yatakuingia na wewe kwasababu wewe na yeye ni mwili mmoja kutokana na mnavyoingiliana. ila kama ameokoka, na wewe umeokoka, mshikilie huyo awe mkeo. ni lulu hao.
dah!
Kitu ambacho wengi hamjui ni kwamba kesi sio vita mkuu.
Ni vile tu hawa ndio walitaka kufanya vita baada ya kuona nimewavuruga Mahakamani.
Sasa uwe makini kwa nini wakati yupo?Wewe kabla ya jambo,ni kumwambia akuangalizie.Wakuu habarini za wakati huu...
Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu mchumba wangu ambaye ni Mcha Mungu, bikira, mpole, mkarimu, mzuri n.k.
Nimegundua kwamba huyu mwanamke ana karama ya unabii pia (muonaji). Zamani manabii waliitwa waonaji.
Kwanini nimefikia hii conclusion? Mjomba wangu alikuwa anaumwa, yaani kaka yake mama yangu. Siku Moja kabla ya kifo cha mjomba wangu, mchumba wangu akanipigia simu kunimbia anaona huzuni KUBWA Kwa mama yangu, kesho yake mjomba akafariki, kweli mama aliumia sana!
Mimi ni Wakili, nilikuwa na kesi Tanga Jana, kabla sijaondoka akanipigia simu kuniambia anaona vita KUBWA kwenye hiyo kesi, na ananiona Niko hospitalini! Baada ya kesi, ule upande wa pili wakaniomba tuonane nje ya Mahakama nikiwa na mteja wangu ili tufute kesi tuyazungumze, kweli tukaenda kuonana nao, nikawekewa sumu kwenye kinywaji changu, nikapelekwa hospitalini kweli na nikalazwa, Sasa hivi ndio wameni-discharge.
Hayo ni machache tu kati ya mengi. Ama kweli, ukimtanguliza MUNGU mbele HUWEZI kuikataa taasisi ya NDOA. NDOA ni baraka.
Huyu nikimuoa inabidi niwe makini sana
Muwe na jioni njema.
Hongera sana mkuu.Mimi kwa mke wangu ni kawaida sasa. vijidada vinavyojipendekeza (hata kama hajaviona kwa macho ya damu na nyama) kwangu huwa anavijua na kunionya kabla ya kufika mbali.
jambo hili limenisaidia sana. Ninamshukuru Mungu kwa kunipatia mke wa namna hii.
Sitathubutu kumgusa hadi ndoa mkuu.Huyo usimnyandue ukimnyandua tu unabii wote kwisha
Nafahamu kuhusu roho ya utambuzi.anaeza pia akawa na pepo la utambuzi cc Mshanajr
nina baba yangu mdogo yeye ni mganga,anaonyeshwaga mikasa akiwa amelala. kama kuna jambo baya linatokea hasa kwa watu anaowafahamu anaonyeshwa
VIJANA MUOE
Mtemi kivipi?Hayo mambo yapo,, mchumba wako ni mtemi,,
Asante sana mkuu wa mafunuo haya. Umeniongezea kitu kikubwa sana.Aisee huyo ni GUARDIAN ANGEL, hutakiwi kumuogopa kabisa maana once mkianza kuishi pamoja kama familia, utawajua mpaka marafiki wanafiki ambao kwasasa wewe unahisi ni watu wako wa karibu sana kumbe sio.
Nasema hivi kwasababu mimi wife wangu ni wa aina hii, baada ya kuanza kuishi nae rasmi nimegundua vitu vingi ambavyo binafsi nisingevijua kabisa.
Na amekuwa msaada sana maana kuna muda unaweza ukajikuta life linakuwa tight sana na mishe zote zinakwama kumbe wanaokwamisha ni washikaji zako wa karibu sana na huwezi hata kuwafikiria.
Hivyo wife wa aina hii ni rahisi sana kukuambia nini kinaendelea na hatua gani ufanye au watu gani unatakiwa uachane nao kabisa.
Maana kama adui yako ni rafiki yako wa karibu na wewe hujui lolote lile. Kutoboa kwenye maisha ni ngumu sana kwasababu unamuamini na unamshirikisha mambo yako mengi sana kumbe mwenzio anaenda kukuharibia bila hata huruma wala sababu ya msingi.
Kuoa mke wa aina hiyo kuna Advantages zake, lakini pia haimaanishi kwamba ukioa mke ambaye sio muonaji maisha hayawezi kwenda, yataenda tu kama wote mtamtegema MUNGU kwa kila jambo.
MAONI YANGU NI HAYO TU.
Katika mazingira hayo lazima usiamini kilichotokea. Ila pole sana! Jipe moyo.Asante japo bado nahisi niko ndotoni
Asante sana kwa ufafanuzi mkuu, sijui watu huwa wanasoma nyuzi wakiwa wanawaza niniWe nadhani haujasoma huo uzi vizuri, kuna sehemu kasema mchumba wake ni bikra.
Msiwe vichwa maji.unasema kesi sio vita wakati walitaka kukuua....kesi ni vita ndo maana kila mtu anapambana kivyake ili ashinde
Mkuu hebu tafakari kwa upya. Kumbuka ndoa ina mambo mengi, kuna kupitiwa , huyu anakuumbua kabisaSasa uwe makini kwa nini wakati yupo?Wewe kabla ya jambo,ni kumwambia akuangalizie.
Wakili msomi, kumbe nawe bado kapera?! Seems mkulungwa!
Hapo sawaSitathubutu kumgusa hadi ndoa mkuu.
Unakuwaje wakili mjinga hivi ,unaendaje kunnywa mipombe na watesi wako
Wakuu habarini za wakati huu...
Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu mchumba wangu ambaye ni Mcha Mungu, bikira, mpole, mkarimu, mzuri n.k.
Nimegundua kwamba huyu mwanamke ana karama ya unabii pia (muonaji). Zamani manabii waliitwa waonaji.
Kwanini nimefikia hii conclusion? Mjomba wangu alikuwa anaumwa, yaani kaka yake mama yangu. Siku Moja kabla ya kifo cha mjomba wangu, mchumba wangu akanipigia simu kunimbia anaona huzuni KUBWA Kwa mama yangu, kesho yake mjomba akafariki, kweli mama aliumia sana!
Mimi ni Wakili, nilikuwa na kesi Tanga Jana, kabla sijaondoka akanipigia simu kuniambia anaona vita KUBWA kwenye hiyo kesi, na ananiona Niko hospitalini! Baada ya kesi, ule upande wa pili wakaniomba tuonane nje ya Mahakama nikiwa na mteja wangu ili tufute kesi tuyazungumze, kweli tukaenda kuonana nao, nikawekewa sumu kwenye kinywaji changu, nikapelekwa hospitalini kweli na nikalazwa, Sasa hivi ndio wameni-discharge.
Hayo ni machache tu kati ya mengi. Ama kweli, ukimtanguliza MUNGU mbele HUWEZI kuikataa taasisi ya NDOA. NDOA ni baraka.
Huyu nikimuoa inabidi niwe makini sana
Muwe na jioni njema.