Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,668
- Thread starter
- #41
[emoji28][emoji28]Atafungiwa kubet. Forever ban
[emoji28][emoji28]Atafungiwa kubet. Forever ban
[emoji28][emoji28]ukepe mkeka bas
Ndio mkuuMkuu amesema ni bikra
ubarikiwe. okoka sasa, umebakisha nini sasa hapo? si umalizie tu?Sijawahi kumuingilia na namuomba MUNGU kwamba nisimuingilie hadi ndoa.
🤣🤣Muulize Makolo watakufa ngapi na Al ahly ili uka bet
Umeongea point ya msingi sana.Binafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
[emoji23][emoji23][emoji23]Test kuchepuka uone kama ataona.
Kaa nae chini myapange, akupe odds za uhakika ubet mkale maisha Malibu.
You have spoken my mind..Binafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Nimeokoka zamani sana mkuu.ubarikiwe. okoka sasa, umebakisha nini sasa hapo? si umalizie tu?
Mimi sio mpumbavu, labda ww.Wakili mpumbavu. Wewe huchukui desa hata kwa watu wa CCM, kwamba ukipewa hata maji ya kunywa, hata Ile chips usiiguse.
Sasa wewe unafakamia mi beer ya watu, huku unaacha pombe mezani unakwenda chooni.
Nilitamani uniulize nikuelezee, badala yake umehukumu.Umeongea point ya msingi sana.
Nabii wa Mungu akileta ujumbe wa tatizo fulani lazima aeleze sababu ya hilo tatizo, halafu atatoa maagizo ya Mungu nini kifanyike ili kuepuka hilo tatizo.
Ukikaidi kufuata hayo maagizo ndipo utakumbana na hilo tatizo.
Sasa huyu mleta mada anachekacheka tu hovyo kwenye kila comment kwenye mambo serious ya Unabii, otherwise huyo mchumba wake ana mapepo ya utambuzi.
Wewe Ni mpumbavu maana hauko makini na ujue upumbavu Ni kipaji. Kama unaweza kuwekewa sumu kwenye maji mchana kweupe ungekua unakunywa pombe si ungeokotwa Pongwe.Mimi sio mpumbavu, labda ww.
Sinywi pombe,nilikuwa nakunywa maji.
Hela ninazo siku zote.Ila haoni ukiwa na hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnapigwa kiboya sana
Mungu akuhurumie!Wewe Ni mpumbavu maana hauko makini na ujue upumbavu Ni kipaji. Kama unaweza kuwekewa sumu kwenye maji mchana kweupe ungekua unakunywa pombe si ungeokotwa Pongwe.
Kifupi mume wangu hanielewi maana ndoa na tendo sioni thamani yake.
Tunakagua bidhaa kwanza kabla ya kuinunua,usije ukajilaumu.Sijawahi kumuingilia na namuomba MUNGU kwamba nisimuingilie hadi ndoa.