bora umwambie uyo coz inaelekea anajifanya msela don't careanamaanisha she is fed up she cannot take it anymore mkuu kwa sababu labda ni tabia yako ya mara kwa mara na ameshakueleza inamkera na hutaki kubadilika unless otherwise scenario iwe tofuti
bora umwambie uyo coz inaelekea anajifanya msela don't careanamaanisha she is fed up she cannot take it anymore mkuu kwa sababu labda ni tabia yako ya mara kwa mara na ameshakueleza inamkera na hutaki kubadilika unless otherwise scenario iwe tofuti
Atarudi mahala pake tu, huwa naamini kulikimbia tatizo sio kulitatua instead ur added up with double troubles!Aah mwanaume kuzimiwa tu simu unakuja unalialiaaaa, ukiachwa si ndio utajinyonga kabisa, acha ufara tafta dem mwingine na inamana ulikua nae m1 tu ? Nonsense
Sent using Jamii Forums mobile app
We si akili hazikutoshi bana!!? Sasa kwanini asipokee dume ilihali ufahamu wako umekuaminisha kupata contact za mke wangu kutoka kwangu ili um-seduce!Namba hii mbona anapokea dume! Umeliwa ndugu
Watu wenye busara zao hawa! Wengine pumba tu, huyu kanifanya nisi-log out...Analipiza kisasi, anataka na wewe ujisikie kama yeye wakati wewe umepotezea kujibu SMS zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ampelekee magonjwa sindio....,k yakukaa muda mrefu bila maelewano halafu mnakuja kutafutana baadae ni hatari sana kiafya.Mkuuu vyupi vingi hivi mtaani unahangaika na kyupi kimoja..... dawa yake ndogo sana piga chini na kaa kimya pia...."
Akijileta kuomba msamaha unamweka machine then mkataba unakuwa umeishia hapo hawa viumbe ukiwambembeleza wanakupanda kichwani mkuu.....
Ampelekee magonjwa sindio....,k yakukaa muda mrefu bila maelewano halafu mnakuja kutafutana baadae ni hatari sana kiafya.tMkuuu vyupi vingi hivi mtaani unahangaika na kyupi kimoja..... dawa yake ndogo sana piga chini na kaa kimya pia...."
Akijileta kuomba msamaha unamweka machine then mkataba unakuwa umeishia hapo hawa viumbe ukiwambembeleza wanakupanda kichwani mkuu.....
mkuu kuna kinga na KY-gel.... afu si lazma siku mkikutana mlane nyamanyama....Ampelekee magonjwa sindio....,k yakukaa muda mrefu bila maelewano halafu mnakuja kutafutana baadae ni hatari sana kiafya.
Ampelekee magonjwa sindio....,k yakukaa muda mrefu bila maelewano halafu mnakuja kutafutana baadae ni hatari sana kiafya.t
Mkuu hiyo ni dalili ya ujumla ya hatari kwenye mapenZi (love general danger sign)Watu wenye busara zao hawa! Wengine pumba tu, huyu kanifanya nisi-log out...
Vp mkuu, hii ni kawaida ktk mahusiano au ni tabia hatarishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhah ndiye yeye umemjuaje asee!!!!?Mh,siye Joyce wa Mlandizi kweli huyo?
Haya ni mawazo ya kibashiteKama mpo mikoa tofauti basi tena kuna mtu amekupiku
Sawa lkn huo ndo ukweli jiandae tu kisaikolojia
Nimelipiga biti likawa dogo kama piriton. Mkwara wangu ulikuwa mzito. Limeomba msamaha na mimi nikalieleza kuwa nikiliona lijue marinda kwaheri. Hivyo nishukuru kwa kukimbiza mbaya wakoWe si akili hazikutoshi bana!!? Sasa kwanini asipokee dume ilihali ufahamu wako umekuaminisha kupata contact za mke wangu kutoka kwangu ili um-seduce!
Insanity![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajakuzimia ila tatzo ameibiwa simuMchumba wangu amenizimia simu mara tu baada ya kutomjibu msg zake kwa wakati, Leo ni siku ya 8 sasa.Wakuu hii inaashiria nini? Na nifanye nini? (Tupo mikoa tofauti kikazi).
Sent using Jamii Forums mobile app
ukweli unauma ila lazima usemweHuyo ni mchumba wa mtu tena sio wako
Huyo ndugu nenda nae taratibu tu na usiendeshwe kwa hisia.Watu wenye busara zao hawa! Wengine pumba tu, huyu kanifanya nisi-log out...
Vp mkuu, hii ni kawaida ktk mahusiano au ni tabia hatarishi?
Sent using Jamii Forums mobile app