Mchumba wangu amenizimia simu

Mchumba wangu amenizimia simu

Mchumba wangu amenizimia simu mara tu baada ya kutomjibu msg zake kwa wakati, Leo ni siku ya 8 sasa.Wakuu hii inaashiria nini? Na nifanye nini? (Tupo mikoa tofauti kikazi).

Sent using Jamii Forums mobile app

Siku nane? Pole sana mkuu! Inaonekana wewe kwake ulikuwa kama geresha tu ndio maana hakuona tabu kukuzimia simu kwa hizo siku nane.
 
Back
Top Bottom