Mchumba wangu amenizimia simu

Mchumba wangu amenizimia simu

Kama ushauri ni wa uongo uongo umekuja kuuomba huku wa nini, bure kabisa..

Ndio maana umezimiwa simu, na papuchi anakula mwingine!!
We kama wako ni kahaba namna hiyo unalo! Wengine twawa na matumaini hata ktk migogoro kama hii sababu hatujaji-bind kwa Malaya!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa maswahibu lkn mkuu.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Aah mwanaume kuzimiwa tu simu unakuja unalialiaaaa, ukiachwa si ndio utajinyonga kabisa, acha ufara tafta dem mwingine na inamana ulikua nae m1 tu ? Nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom