The Hidden
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 246
- 102
Mchumba wangu amenizimia simu mara tu baada ya kutomjibu msg zake kwa wakati, Leo ni siku ya 8 sasa.Wakuu hii inaashiria nini? Na nifanye nini? (Tupo mikoa tofauti kikazi).
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app