Unaoa m2 au kabila?
swali la pili
mtoa mada unaona wewe au ndugu zako?
CC:miss chagga
INAKUHUSU HII
oa sukuma girl tu mwache mchaga wa watu atapata mwingine
jamani mimi ni kijana mwenye miaka 27 mwenyeji wa mkoa wa shinyanga muda wa kuoa naona umekaribia nikiwa masomoni nilimpata mchumba binti wa kichaga ana degree lakini nyumbani wanataka nioe kwetu usukumani na awe std vii wana jamvi nifanyeje?
CC:miss chagga
INAKUHUSU HII
Miss chagga huyooo anakaribia kujiunga na ukoo wa wasukuma.
........
Aika kyeku
swali la tatu
mtoa mada, atakaye watunza mke na watoto wako ni familia yako au wewe mwenyewe?
naoa mtu na tatizo wazazi hasa mama hakubali anakataa kata kataUnaoa m2 au kabila?