unaishiwa sababu hausikilizi nyimbo za wakongwe kama celine dion....dolly parton.....phil collins......lionel richie......mariah....julio iglesious.......na wengine wengi......
BAK saidia huyu kijana baadhi ya wakongwe wa muziki apate kumriwadha malkia wake.......
Cku ukikosa kabisa uwe unamtumia kabuku tano kavocha am sure hatanuna ,endelea na huu utaratibu kwa wik moja then urudishe utaratibu wa zamani uone anapendelea upi zaidi.
Kazi IPO...hivi shule bado hazijafunguliwanina mchumba nipo nae zaid ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai mesej za mapenz zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile deile
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks
mpe namba yake ali kiba atakuwa anampa mistar yake.tena sku nyngne ataenda kumwmbia chumban mpaka alale
hahaaha nalo wazo aisee
nina mchumba nipo nae zaid ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai mesej za mapenz zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile deile
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks
Yuko darasa la ngapi?
Na pia ulishawaza kuna uwezekano ukimtumia naye anamfoadia kishimba mwingine..
form 4 failure CBE
Mtumie maneno haya "Sikutaki tena' akikisumbua njoo unitafute na panya road...
yajaribu kwa dk ulete feeback
unaishiwa sababu hausikilizi nyimbo za wakongwe kama celine dion....dolly parton.....phil collins......lionel richie......mariah....julio iglesious.......na wengine wengi......
BAK saidia huyu kijana baadhi ya wakongwe wa muziki apate kumriwadha malkia wake.......
unaishiwa sababu hausikilizi nyimbo za wakongwe kama celine dion....dolly parton.....phil collins......lionel richie......mariah....julio iglesious.......na wengine wengi......
BAK saidia huyu kijana baadhi ya wakongwe wa muziki apate kumriwadha malkia wake.......