Mchumba ananipa wakati mgumu aisee msaada wakuu

Mchumba ananipa wakati mgumu aisee msaada wakuu

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,025
Reaction score
13,332
Nina mchumba nipo nae zaidi ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai meseji za mapenzi zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile daily.

Nimemtumia kama miezi minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yaani kawa addicted fulan hivi
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi.

Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vipip dondosha ujumbe wowote wa kumfariji msichana mimi nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako.

Hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks
 
nina mchumba nipo nae zaid ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai mesej za mapenz zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile deile
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks

Talk of maendeleo acha mawazo ya ngono na after effects za ngono!
 
nitumie namba yake niwe nakusaidia kumtumia
 
nina mchumba nipo nae zaid ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai mesej za mapenz zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile deile
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks

Mwambie kuwa yeye ni mtamu kuliko marafiki zake wote.... huu mtumie leo kabla hajalala
 
Mtumie maneno haya "Sikutaki tena' akikisumbua njoo unitafute na panya road...
 
uwe unabadilisha mfano kama ulimtumia nakupenda sana next time mtumie Sana Nakupenda. Ukibadilisha hayo ya zaid ya miez 2 utasogeasogea
 
unaishiwa sababu hausikilizi nyimbo za wakongwe kama celine dion....dolly parton.....phil collins......lionel richie......mariah....julio iglesious.......na wengine wengi......

BAK saidia huyu kijana baadhi ya wakongwe wa muziki apate kumriwadha malkia wake.......
 
Last edited by a moderator:
nina mchumba nipo nae zaid ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai mesej za mapenz zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile deile
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks

Ni utoto tu6 mkikua mtaacha
 
Cku ukikosa kabisa uwe unamtumia kabuku tano kavocha am sure hatanuna ,endelea na huu utaratibu kwa wik moja then urudishe utaratibu wa zamani uone anapendelea upi zaidi.
 
nina mchumba nipo nae zaid ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai mesej za mapenz zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile deile
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks

Nunua magazeti ya udaku yameshehen meseji kibao za mapenzi.
 
Back
Top Bottom