Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Nimepitia mara wa kadhaa kuanzia jana yatokanayo na hoja za Waziri Mkuu Mstaafu Yosefu Sinde Warioba kwenye TBC1 jana akiwamwagia dongo vijana kuwa waache kulalamika juu ya uongozi uliopo...................hoja zake ambazo zilinifanya nianze kujiuliza ya kuwa hivi Sinde akiwa na miaka 35 Nyerere alipomteua kuwa Mwanasheria Mkuu hivi kigezo hakikuwa ni nepotism kweli maana sioni kama ni mtu mwenye busara hata chembe................................
hoja ya Sinde ni kuwa Nyerere alipokuwa Waziri mkuu wa kwanza akiwa na miaka 39 alikuwa kijana...........aliyemrithi pia Kawawa alikuwa ni kijana.................................na wengi wa mawaziri Wakuu ukiwaondoa Msuya na Malecela walikuwa vijana..........................kwa hiyo huo ndiyo ushahidi wake wa ya kuwa vijana wamekuwa wakiongoza nchi hii na kizazi hiki cha vijana kiache malalamiko...........
Hoja hizi zinanikumbusha profesa mmoja mwalimu wangu aliwahi kusema ukiacha wafanye maamuzi kwa niaba yako watakula pia kwa niaba yako..........
Kule ufaransa akina Boukassa na Leopald Senghor waliteuliwa kuwa wabunge kwenye Bunge la ufaransa.........................Mkoloni huyo alibuni utaratibu huo ili kuhalalisha uporaji wa mali katika makoloni yake......................kwa hoja ya kuwa acheni kulalamika mbona watu wenu kutoka kwenye makoloni tunakula nao meza moja hapa ulaya?.........................mbinu hizohizo hata Mwingereza alizitumia kwa akina banda wa malawi kuwa daktari wa malkia n.k..................
tatizo la kizazi cha vijana wa leo siyo kukosa uwakilishi ndani ya taswira ya uongozi ila wao wanashirikishwa vipi katika kuzitambua chachu za maendeleo na kuzipangilia chachu tajwa ikiwemo kutekeleza mipango ya maendeleo..................siyo kuwakilishwa katika High Table pekee...................hakutoshi kuwawezesha kuweka ugali na maharagwe kwenye meza ndani ya vibanda vyao vya nyasi...........................
hoja ya Sinde ni kuwa Nyerere alipokuwa Waziri mkuu wa kwanza akiwa na miaka 39 alikuwa kijana...........aliyemrithi pia Kawawa alikuwa ni kijana.................................na wengi wa mawaziri Wakuu ukiwaondoa Msuya na Malecela walikuwa vijana..........................kwa hiyo huo ndiyo ushahidi wake wa ya kuwa vijana wamekuwa wakiongoza nchi hii na kizazi hiki cha vijana kiache malalamiko...........
Hoja hizi zinanikumbusha profesa mmoja mwalimu wangu aliwahi kusema ukiacha wafanye maamuzi kwa niaba yako watakula pia kwa niaba yako..........
Kule ufaransa akina Boukassa na Leopald Senghor waliteuliwa kuwa wabunge kwenye Bunge la ufaransa.........................Mkoloni huyo alibuni utaratibu huo ili kuhalalisha uporaji wa mali katika makoloni yake......................kwa hoja ya kuwa acheni kulalamika mbona watu wenu kutoka kwenye makoloni tunakula nao meza moja hapa ulaya?.........................mbinu hizohizo hata Mwingereza alizitumia kwa akina banda wa malawi kuwa daktari wa malkia n.k..................
tatizo la kizazi cha vijana wa leo siyo kukosa uwakilishi ndani ya taswira ya uongozi ila wao wanashirikishwa vipi katika kuzitambua chachu za maendeleo na kuzipangilia chachu tajwa ikiwemo kutekeleza mipango ya maendeleo..................siyo kuwakilishwa katika High Table pekee...................hakutoshi kuwawezesha kuweka ugali na maharagwe kwenye meza ndani ya vibanda vyao vya nyasi...........................