Nimepata comment moja ikisema Masoud Anamaanisha;Tatizo kubwa wetu waafrika ni njaa Na ndiyo maana hutuwezi kufanya lockdown kwani watu watakufa njaa.
Anaendelea kusema kuwa;kwasababu ya kutafuta riziki watu wanakumbana Na virus vya corona lakini cha kumshukuru Mungu ni kwamba wengi wana survive yaani wanaumwa, wanapona maisha yanaendelea.
Vipi mawazo yako!
.
Anaendelea kusema kuwa;kwasababu ya kutafuta riziki watu wanakumbana Na virus vya corona lakini cha kumshukuru Mungu ni kwamba wengi wana survive yaani wanaumwa, wanapona maisha yanaendelea.
Vipi mawazo yako!
.