Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
TAARIFA YA AWALI.
Taarifa zilizotufikia ni kuwa Hakimu amefuta kesi ya mchoraji Oppter Fwema leo baada ya kurindima kwa muda mrefu bila polisi kuleta ushahidi mahakamani lakini alipokuwa anatoka mahakamani polisi wamemkamata tena na inasadikika wameempeleka kituo cha polisi Oysterbay.
Nimeongea na wakili wake, yupo Oysterbay kwa ajili ya kuanza kulishughulikia suala hili
Kwa msiomfahamu, Oppter Fwema alimakatwa kwa tuhuma za kuchora katuni inayokosoa utawala wa awamu ya sita.
===========UPDATE===========
Taarifa zilizotufikia ni kuwa Hakimu amefuta kesi ya mchoraji Oppter Fwema leo baada ya kurindima kwa muda mrefu bila polisi kuleta ushahidi mahakamani lakini alipokuwa anatoka mahakamani polisi wamemkamata tena na inasadikika wameempeleka kituo cha polisi Oysterbay.
Nimeongea na wakili wake, yupo Oysterbay kwa ajili ya kuanza kulishughulikia suala hili
Kwa msiomfahamu, Oppter Fwema alimakatwa kwa tuhuma za kuchora katuni inayokosoa utawala wa awamu ya sita.
===========UPDATE===========
View attachment 2362763
Msanii Optatus Fwema amefanikiwa kupata dhamana baadavya wanasheria wake kufika kituo cha polisi Oysterbay.
Pichani ni Oppter akiwa na wanasheria pamoja na nduguze leo tarehe 20/09/2022