Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 674
Mimi ni transporter wa muda mrefu toka coaster kuja fuso mpaka sasa malori. Ninaona kama fursa ipo kwenye biashara ya malori ya maji machafu haswa haya makubwa ( lita 15,000 hadi 20,000)
Natamani kupata uzoefu wa walioko kwenye hii biashara....
1. Njia nzuri na rahisi ya kupata haya malori. Ikiwezekana mitandao yake.
2. Gharama za kusajili nk
3. Biashara inavyofanyika. Naona madalali wamefunika madereva kabisa.
4. Hesabu kwa tajiri imekaaaje...nk
Naomba wenye kujua waniweke wazi hapa.
Natamani kupata uzoefu wa walioko kwenye hii biashara....
1. Njia nzuri na rahisi ya kupata haya malori. Ikiwezekana mitandao yake.
2. Gharama za kusajili nk
3. Biashara inavyofanyika. Naona madalali wamefunika madereva kabisa.
4. Hesabu kwa tajiri imekaaaje...nk
Naomba wenye kujua waniweke wazi hapa.