darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,700
- 16,852
- Thread starter
- #21
tulikuwa maskaaniYaah ilikuwa hivyo.Halafu kuna ile Tulikuwa maskani maskanii famagusta .
Mwendelezo umenitoka kidogo hapo mtu akikumbuka ashushe mistari hiyo
maskani famagusta
kukaa kidogo kaja mtu
kaja anatuuliza
Kipaka kafa saa ngapi?
watu wote tukashangaa
tulikuwa hatuna habari
kwenda kuuliza kumbe kweli
Alihamdulillah
sio yeye peke yake
safari hii yetu sotee
yeye ametangulia
hata bwana Nanga na wewe utakwenda tu
sio yeye peke yake
yeye ametangulia
hata bwana Gusa utakwenda tu
........................